Sheria: Kufanya mapenzi hadi na maiti!

Sheria: Kufanya mapenzi hadi na maiti!

ndyoko

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
4,971
Reaction score
1,652
Na sheria imeshatungwa inasubiri tu kupitishwa bungeni iwe ruksa kwa
mwanaume kufanya mapenzi na mkewe aliyefariki ndani ya masaa sita
baada ya kufariki. Ngoja tusubirie naona wamisri hawataki mzaha ktk
suala zima la maloveee!

Inawezekana hujasikia hii maneno lakini ukweli ndo huo. Very soon,
kama muswaada ukipitishwa basi wanaume watakuwa na uhuru wa 'kuwaaga'
wake zao wapendwa kwa kuwaachia 'vimiminika' walale navyo salama kaburini.

Usiku mwema wanajf!
 
Gross, I don't wanna think of it, this shit happens when men rule the world all they think ni matamanio yao!
 
Sasa siku hizi mtu anaoza hata kabla ya kufa akifa je?
 
binadam akiri sinapugua siku hadi siku, lakin ubaya hawatabui hilo sababu wamejaza vitabu kitchwani nkusema siku hizi tumeelimika nabusara.


cursed world
 
Hujawai mwona mwili wa mtu aliyekufa. Kifo hakizoeleki.
 
mmmh Ukistaajabu ya Musa.................................:angry:
 
Gross, I don't wanna think of it, this shit happens when men rule the world all they think ni matamanio yao!

I don't think real men can go to that extent. Those are Arabs, not men. Waarabu wanaongozwa na miili zaidi.
 
Back
Top Bottom