Sheria mpya EPL msimu wa 2019/2020 hizi hapa.

Sawa, substitutes wamekuwa wakipoteza mno muda.
 
namuona pep akila card nyingi msimu huu
 
Tutafasilien sasa na sisi mabashite maana mimi hapo nimetoka bashite bashite tu sijaelewa kitu
 
Mabadiliko haya sio kwa epl pekee, yameanza julai mosi na ndio maana tunayaona hata AFCON Misri.
 
FIFA's new rules. Walizitoa mwaka jana ili zitumike season mpya mwaka huu.
 
SIJAONA VAR kama itatumika ingawa hapo wamesema ikiwa mtu atafunga goli akashangilia kwa kuvua jezi yake atakula kadi ya njano hata kama lile goli litakataliwa na VAR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…