Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
kwa wafanya kazi wengine inakula kwao, make wafanya kazi wengine ni kama hawana uchungu na hizo pesa na wanabakia kulalamikia mitaani tu,
Penye wengi pana mengi sasa kama mnafanya kazi yenye watu wanne hata mkipiga kelele nani atasikia, kwenye sekta ya madini kuna kundi kubwa ambalo lina nguvu ya kusikika pia kwa wafanyakazi wengine tatizo namna ya kuji-organize ndio changamoto maana ofisi zingine huwa hazipo katika vyama vya wafanyakazi vyovyote hasda watu wanaofanya kwenye NGO kelele zao ni humuhumu JF