Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
kwa wafanya kazi wengine inakula kwao, make wafanya kazi wengine ni kama hawana uchungu na hizo pesa na wanabakia kulalamikia mitaani tu,
Mkuu Mazingira ya Kazi ni magumu sehemu nyingi sana, Cheki mfano wa hivi viwanda vy wahindi na wachina Wafanyakazi wana mazingira magumu sana, na ni kwa nini ilegezwe kwa wafanya kazi wa sehemu fulani tu, Mimi nazani kuna presha ya wamiliki wa Migodi na watakuwa wametishia kustisha uchimbaji,