KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,705
- 4,217
Anaandika KENGE,
Mamlaka ya kutunga sheria za mpira wa miguu IFAB imetunga sheria mpya baada ya maboresho na malalamiko kwa wachezaji kwa baadhi magoli kipa kuwavuruga kisaikolojia kabla ya kupiga mkwaju.
Ikumbukwe GK wa A.Villa na Argentina(Martinez) amekuwa na mbinu ya kuwavuruga wachezaji kisaikolojia kwa matendo yake kama vile kuwatisha, kwenda kushikashika mpira, kushika nyavu n.k.
Martinez aliwahi kuwavuruga Manchester united baada ya kupata mkwaju kwenye malumbano alimfata Ronaldo akamwambia "Nataka uje upige wewe mkwaju" CR7 alikataa na kumwachia Bruno apige na akakosa pia. Martinez aliwavuruga kisaikolojia France kwenye hatua za matuta Kombe la dunia, vilevile aliwavuruga brazil kwenye Copa America na wengine wengi.
IFAB imefanyia maboresho sheria hii kama ifuatavyo:
~ Kipa haruhusiwi kushika nyavu au post kabla ya penalty kupigwa.
~ Kipa haruhusi kuvuka msitari wa (crossbar line) kabla ya kupigwa penalty.
~ Kipa haruhusiwi kumpanikisha au kumuongelesha mpiga penalt kabla ya penalty.
~ Kipa akae katikati ya goli na kumtazama mpiga penalt.
Je, sheria hii sio kikwazo/kifungo kwa Magoli Kipa?
CC KENGE 01
Nawasilisha.
Pia soma>>
www.jamiiforums.com
Mamlaka ya kutunga sheria za mpira wa miguu IFAB imetunga sheria mpya baada ya maboresho na malalamiko kwa wachezaji kwa baadhi magoli kipa kuwavuruga kisaikolojia kabla ya kupiga mkwaju.
Ikumbukwe GK wa A.Villa na Argentina(Martinez) amekuwa na mbinu ya kuwavuruga wachezaji kisaikolojia kwa matendo yake kama vile kuwatisha, kwenda kushikashika mpira, kushika nyavu n.k.
Martinez aliwahi kuwavuruga Manchester united baada ya kupata mkwaju kwenye malumbano alimfata Ronaldo akamwambia "Nataka uje upige wewe mkwaju" CR7 alikataa na kumwachia Bruno apige na akakosa pia. Martinez aliwavuruga kisaikolojia France kwenye hatua za matuta Kombe la dunia, vilevile aliwavuruga brazil kwenye Copa America na wengine wengi.
IFAB imefanyia maboresho sheria hii kama ifuatavyo:
~ Kipa haruhusiwi kushika nyavu au post kabla ya penalty kupigwa.
~ Kipa haruhusi kuvuka msitari wa (crossbar line) kabla ya kupigwa penalty.
~ Kipa haruhusiwi kumpanikisha au kumuongelesha mpiga penalt kabla ya penalty.
~ Kipa akae katikati ya goli na kumtazama mpiga penalt.
Je, sheria hii sio kikwazo/kifungo kwa Magoli Kipa?
CC KENGE 01
Nawasilisha.
Pia soma>>
Je, ni kweli Soka la kisasa limeondoa ladha ya mpira?
Kwa wapenzi wa mpira wa miguu, Mwaka 2010 FIFA ilitangaza rasmi mapinduzi ya technolojia katika mpira wa miguu, hii ni baada ya Kombe la Dunia lililopigwa South Africa kwa Madiba. Modern football inayoongelewa hapa ni baadhi ya mambo yaliyofanyiwa mabadiliko katika Sheria za Mpira wa miguu...