Sheria Mpya ya Reli inakuja

Sheria Mpya ya Reli inakuja

Mwanagenzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2006
Posts
738
Reaction score
273
Kuna mchakato umeanza wa kutunga sheria mpya ya reli/au kuhuisha iliyopo ili "kuendana na wakati"....
Kwa kiasi kukubwa huenda lengo la sheria hii ni kuwezesha "wawekezaji" kujinufaisha na SGR.

Je, kama taifa, tuko tayari kwa sasa kuruhusu watu binafsi kumiliki treni ambazo zitatumia reli ya umma? Hii ndiyo PPP? Haya yote yana uhusiano na "kuchelewa" kukamilika kwa kipande cha Dar-Moro au kuletwa kwa mabehewa na kuanza kwa huduma katika kipande hicho?
 
Ila watu mnajua kulalamika,sasa kuna ubaya gani kama watu wataingiza Treni za kisasa na wakaweka bei za ushindani,kuliko tuwe kama shilika la ndege ATTCL linavyofanya uzembe
 
Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi chini ya Prof. Mbarawa sijui kama kweli inamsaidia Rais zaidi naona kama inatumika kumchonganisha, kweli SGR ibinafsishwe?, ATCL nayo ibinafsishwe? kwanini Taasisi zilizo chini ya Waziri Mbarawa ndio zinataka kubinfishwa ni kwa manufaa ya nani? Mh Rais wafuatilie sana hawa kina Mbarawa wanaweza kutuletea matatizo makubwa
 
Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi chini ya Prof. Mbarawa sijui kama kweli inamsaidia Rais zaidi naona kama inatumika kumchonganisha, kweli SGR ibinafsishwe?, ATCL nayo ibinafsishwe? kwanini Taasisi zilizo chini ya Waziri Mbarawa ndio zinataka kubinfishwa ni kwa manufaa ya nani? Mh Rais wafuatilie sana hawa kina Mbarawa wanaweza kutuletea matatizo makubwa
Hivi kwa akili yako nani anaweza kuinunu ATCL hata waitangaze leo wanaiuza hakuna shirika lolote la ndege linaweza kuinunua huo ndio ukweli ndugu yangu hawana assets yoyote kubwa zaidi ya KUKODI ndege za serikali.
 
Hivi kwa akili yako nani anaweza kuinunu ATCL hata waitangaze leo wanaiuza hakuna shirika lolote la ndege linaweza kuinunua huo ndio ukweli ndugu yangu hawana assets yoyote kubwa zaidi ya KUKODI ndege za serikali.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Kama Reli wanakwambia wanabadilisha sheria ili iruhusu mwekezaji... watashindwaje kwenye Ndege?
 
Tena naomba watu wawekeze hadi ziwe kama dala dala...

"Something is better than none"
 
Kuna mchakato umeanza wa kutunga sheria mpya ya reli/au kuhuisha iliyopo ili "kuendana na wakati"....
Kwa kiasi kukubwa huenda lengo la sheria hii ni kuwezesha "wawekezaji" kujinufaisha na SGR.
Je, kama taifa, tuko tayari kwa sasa kuruhusu watu binafsi kumiliki treni ambazo zitatumia reli ya umma? Hii ndiyo PPP? Haya yote yana uhusiano na "kuchelewa" kukamilika kwa kipande cha Dar-Moro au kuletwa kwa mabehewa na kuanza kwa huduma katika kipande hicho?
Bila PPP imara hatuendi popote. Reli, ndege, masoko, kilimo, hospitali, mashule, mawasiliano, etc PPP ni muhimu. Mfano mzuri wa PPP ni katika secta ya mawasiliano ya simu. Kama sio secta binafsi kuingia hapa na kuongoza, tusingekuwa na mawasiliano imara ya simu. Mambo ya maendeleo yanatakiwa yaendeshwe kibiashara na sio kisiasa.
 
Hakuna shida ya kuachia private sector kushindana na TRC.

Shida ni mzaha uliopo serikalini na weledi wa kusimamia huo ushindani wenyewe.

Kwanza kabisa watambue biashara ya train ni ngumu kushinda ya ndege. Tukisikia ulaya wame privatise hizo condition zake sio za kitoto.

Ukitaka kujua biashara ya train ni ngumu ujawahi sikia ‘Richard Branson’ biashara ya ndege Virgin airways imesumbua; ila kwenye train kila akigusa ana tengeneza madeni.

Condition za kushinda rail contract, hasa kama line imetengenezwa na serikali huko kwenye ushindani wa kuendesha hiyo line sikia tu.

Like seriously sasa hivi serikalini kuna too many clueless individual wanaofanya maamuzi makubwa na ya ovyo yenye long term negative impact.

Hawa watu wameshaonyesha hawana uwezo wala uelewa wa maswala ya biashara; kuwaachia kufanya maamuzi makubwa ya kimkakati trust me huko mbele nchi itajikuta iliingia mikataba ya ovyo mingi sana na kutoka shida.

Ni wakati wa kumwambia bi tozo ubinifu wake unatosha, aendeshe tu serikali through manual.
 
Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi chini ya Prof. Mbarawa sijui kama kweli inamsaidia Rais zaidi naona kama inatumika kumchonganisha, kweli SGR ibinafsishwe?, ATCL nayo ibinafsishwe? kwanini Taasisi zilizo chini ya Waziri Mbarawa ndio zinataka kubinfishwa ni kwa manufaa ya nani? Mh Rais wafuatilie sana hawa kina Mbarawa wanaweza kutuletea matatizo makubwa
Unapoteza muda wako bure kumshauri mpumbavu
 
Kama Reli wanakwambia wanabadilisha sheria ili iruhusu mwekezaji... watashindwaje kwenye Ndege?
History inaonyesha hakuna faida yoyote iliwahi kupatikana kwenye sector yoyote ile ileye kuwa chini ya serikali iliweza kuendesha bishara kwa faida toka kwa NYERERE .....rejea mashirika ya UMMA yalianzishalwa yalifika wapi na hii ndio ukweli utabaki hivyo iliyo baki ni SIASA tu hata wao Viongozi wanajua nikitu hakiwezekani iliyo baki kupoteza hela wananua MANDEGE yasiyo kuwa na faida yoyote ni mzigo kwa SERIKALI tu .

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom