Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,750
- Thread starter
-
- #21
Kazi kwelikweli...Ndiyo maana wengine tunasema hata kama ni Dini basi mjaribu kwenda na wakati. Kuna sehemu imeandikwa na mwanaume naye lazima awe bikira au ni wanawake tu? Mbona wanawake wanakandamizwa sana kwenye mfumo wenu? Hebu niambie, utajuaje mwanamke ni bikira mara ya kwanza ukifinya naye tendo la ndoa? Najua utasema ni lazima anatoke damu kidogo anapopoteza ubikra wake. Lakini ubikira maana yake ni mara ya kwanza kuanza kufanya kile kitendo. Wasichana wengine wanapoteza ubikira hata kwenye michezo na wengine wamezaliwa bila hata ya kuwa na hymen.
Lijitu linaweza kuoa halafu likampa talaka mke wake mpya kwa sababu siyo bikira kumbe ni bikira kweli.
Hii kitu imewafanya dada zenu wengi kufanya tendo la ndoa kinyume na maumbile kuilinda hiyo bikira.
Badilikeni bana!
mkuu sikuhitaji longolongo nyingi sana,na majibu ya watu wa njiani,ila nimelenga suali katika sheria za dini ,zinasemaje ? sasa kama mtu kapanda baiskeli huko ni kwengine ,suali lipo palepale juu ya yale niliyoyahitajia ,sheria kwa upande wa dini zinasemaje .