Sheria ndani ya dini ya Kikristo (Mahakama)


imesisitizwa tuvae kwa kujistiri. Sasa kujistiri kwa masai, siyo sawa na kujistiri kwa mchaga, mpare na kadhalika. Nakubaliana na wewe kuwa huathiriwa na tamaduni zetu, kama yalivyo majina, kristo alituachia jina moja tu, yaani wakristo. Sasa kuitwa iman, ramadhan, juma, adamu, ntamaholo nk, havina uhisiano wowote na ukristo. Jina ni jina tu
 
Galatia 6:1, inasema
"ndugu zangu, mtu akighafilika katika kosa lolote, ninyi mlio wa roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe. 2 mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya kristo. 3 maana mtu akijiona ni kitu, si kitu, ajidanganya nafsi yake. 4 lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe, ndipo atakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsi yake tu, wala si kwa wenzake. 5 maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe".

12. Wote watakao kuonekana ni wazuri kwa mambo ya mwili, ndio wanaowashurtisha kutahiriwa; kusudi wasiudhiwe kwa kusudi la msalaba wa kristo, hilo tu. 13 kwa maana hata wao wenyewe waliotahiriwa hawaishiki sheria; bali wanataka ninyi mtahiriwe, wapate kuona fahari kuona fahari katika miili yenu. Ff

ukisoma galatia 3:23 inasema.
" lakini kabla ya kuja ile iman tulikuwa tumewekwa chini ya sheria, tumefungwa mpaka ije ile iman itakayofunuliwa. 24 hivyo torati imekuwa kiongozi kutuleta kwa kristo, ili tuhesabiwe haki kwa imani. 25 lakini iwapo imani imekuja, hatupo tena chini ya kiongozi. 26 kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa mungu kwa njia ya iman katika kristo yesu. 27 maana ninyi nyote mliobatizwa katika kristo, mmemvaa kristo".
 
Basi nasema enendeni kwa Roho..... Lakini Roho akiongoza HAMKO CHINI YA SHERIA. Amen.
 
Most of us know the Ten Commandments (or at least the important ones), but how well do any of us know all the rules of the Bible and adhere to them?

For one year, A.J. Jacobs carefully studied the Old and New Testaments and did his best to follow every law to the letter. He grew a beard; stopped cursing; stoned adulterers (well, he did what he could) and wrote about the experience in the witty, insightful memoir, "The Year of Living Biblically."
For those of you who can't wait for the Cliffs Notes version of the book to arrive, we asked Jacobs to give us a top 10 list of the weirdest and toughest laws in the

Source: The Weirdest and Toughest Laws in the Bible - Asylum.com
 

Kumbe Mungu sheria za ke ni kwa Waisraeli tu?


Wewe umejibu ya mifugo tu, na hiyo ya shamba? inakuingia akilini? Na hiyo niliyokuwekea nyekundu? Kuna Mkristo anayeifata?
 

Ndiyo kazi inayobaki kwa serikali lakini haitahusika na kanisa. Kanisa ni la Mungu na Utawala ni wa dunia. Na kwa vile Biblia inatambua uwepo wa serikali za kidunia dunia itabaki ikiwahukumu kulingana na sheria za dunia. Sheria kuu ya Mungu inasubiri mwisho na atatoa hukumu sawa na matendo yako.

Hivyo sisi tunatakiwa kuheshimu hao viongozi na mamlaka zote zinazotuongoza kwa maana zinasemimia kwa mjibu wa Biblia hata kama wanaoongoza si wacha Mungu.

HivyoMkuu, hakunahaja ya kuanzisha mahakama yetu wakati Biblia inajitosheleza na kila mtu anatakiwa kuijua na kuifuata kama ilivyo.

Shukurani
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…