Nimeona tena mavazi ya Rais wa Zambia wakati wa chakula cha usiku alichomuandalia mgeni wake Uhuru Kenyatta(Rais wa Kenya) ktk mitandao mbalimbali.
Ni ubunifu wa mtanzania Sharia Ngowi ktk mavazi anayovaa Rais wa Zambia,hii ni fahari kwa mtanzania mwenzetu Ngowi kwa kuchanja mbuga kimataifa mpaka Ikulu ya Zambia...Hongera sana kijana!!ila punguza tabia yako ya kuwa "Ant-Social"...usiwapotezee sana masela...maana wanalalamika sana.Kaza buti kijana..tupo pamoja