Sheria-UDSM: WANAWAKE vipi?

Sheria-UDSM: WANAWAKE vipi?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Wahadhiri wa kike wa Sheria-UDSM ni wachache sana. Wanabanwa na GPA(kwakuwa inatakiwa 3.8 na zaidi). Tangu mwaka 2007,hakuna Mhadhiri hata mmoja wa kike aliyeajiriwa.Hakuwa pia hata mwanafunzi mmoja wa kike aliyefika wastani wa 3.8 tangu mwaka huo.

Hadi sasa,UDSM upande wa Sheria ina Wahadhiri wanapita 60.Lakini kati yao,wanawake ni wafuatao tu: 1. Dr.T. Ackson-ambaye ni Naibu Mkuu wa Kitivo 2. Dr. Asha-Rose Migiro 3. Dr. Mwaipopo 4. Miss Asina Omari 5. Miss Lucy Eusebio 6. Miss Massabo.Basi. Waliobaki wote ni wa kiume.

Wanawake vipi jamani? GPA hii ni kubwa? Fungukeni....
 
Wahadhiri wa kike wa Sheria-UDSM ni wachache sana. Wanabanwa na GPA(kwakuwa inatakiwa 3.8 na zaidi). Tangu mwaka 2007,hakuna Mhadhiri hata mmoja wa kike aliyeajiriwa.Hakuwa pia hata mwanafunzi mmoja wa kike aliyefika wastani wa 3.8 tangu mwaka huo.

Hadi sasa,UDSM upande wa Sheria ina Wahadhiri wanapita 60.Lakini kati yao,wanawake ni wafuatao tu: 1. Dr.T. Ackson-ambaye ni Naibu Mkuu wa Kitivo 2. Dr. Asha-Rose Migiro 3. Dr. Mwaipopo 4. Miss Asina Omari 5. Miss Lucy Eusebio 6. Miss Massabo.Basi. Waliobaki wote ni wa kiume.

Wanawake vipi jamani? GPA hii ni kubwa? Fungukeni....

Sijui utaratibu wa sasa, lakini zamani ukiwa na GPA inayotosha unabaki pale kuwa TA. nasikia sasa mtindo huo hakuna hata kama umepata GPA ya 5.0 mpaka uombe ukubaliwe/ukataliwe. Zamani ilikuwa ni sheria kubalki pale ukiwa na stipulated GPA. Si ajabu wanapata lakini wanakataliwa, ukiweka na rushwa, rushwa ya ngono etc!!!
 
Sijui utaratibu wa sasa, lakini zamani ukiwa na GPA inayotosha unabaki pale kuwa TA. nasikia sasa mtindo huo hakuna hata kama umepata GPA ya 5.0 mpaka uombe ukubaliwe/ukataliwe. Zamani ilikuwa ni sheria kubalki pale ukiwa na stipulated GPA. Si ajabu wanapata lakini wanakataliwa, ukiweka na rushwa, rushwa ya ngono etc!!!
Mkuu utaratibu bado ni huohuo.Wote wanaopata 3.8 huitwa kwa ajili ya Uhadhiri.Ni formality tu kuita na kumsikiliza.Hakuna aliyewahi kuachwa. Tatizo kwa miaka mingi sasa hakuna mwanamke aliyefika 3.8 na kuendelea...
 
Mkuu utaratibu bado ni huohuo.Wote wanaopata 3.8 huitwa kwa ajili ya Uhadhiri.Ni formality tu kuita na kumsikiliza.Hakuna aliyewahi kuachwa. Tatizo kwa miaka mingi sasa hakuna mwanamke aliyefika 3.8 na kuendelea...

Then hapo kuna tatizo, lazima kuliangalia. If needs GPA ishushwe kidogo ingawa wasomi watakuwa mbogo and hata mhusika inaweza kumjengea inferiority complex katika community of academicians!!!
 
Mkuu utaratibu bado ni huohuo.Wote wanaopata 3.8 huitwa kwa ajili ya Uhadhiri.Ni formality tu kuita na kumsikiliza.Hakuna aliyewahi kuachwa. Tatizo kwa miaka mingi sasa hakuna mwanamke aliyefika 3.8 na kuendelea...

Sio hivyo...sasa hivi mpaka uombe, watakuambia unastahili kubakia lakini wanakuambia wanaangalia budget waliyopewa kuajiri waalimu wapya...zamani walikuwa wanaruhusiwa kuajiri moja kwa moja...lakini sasa hivi sivyo hadi tume ya utumishi ...nina evidence lakini siwezi kukupa humu!
 
..aise mi napita..mangwini uwanja wenu...
 
..aise mi napita..mangwini uwanja wenu...
 
Sio hivyo...sasa hivi mpaka uombe, watakuambia unastahili kubakia lakini wanakuambia wanaangalia budget waliyopewa kuajiri waalimu wapya...zamani walikuwa wanaruhusiwa kuajiri moja kwa moja...lakini sasa hivi sivyo hadi tume ya utumishi ...nina evidence lakini siwezi kukupa humu!
Nasisitiza: hakuna aliyeomba akiwa na 3.8 ya UDSM halafu akakosa. Ni utaratibu tu huo wa kuita na kuchuja. Kimsingi,huchujwa wa Vyuo vingine tu. Issue ni kuwa kwa miaka mingi hakuna mwanamke aliyepata 3.8 na kuendelea ya UDSM...
 
Exams are not perfect way to measure someones ability,huwa sipendi sana kumkosesha mtu kazi coz of GPA.Hii imesababisha nowdays baadhi ya vyuo watu wana GPA kubwa ila hawagongi vitu.Sheria sijui siku hizi,zamani walikuwa hawatumii semister system.I mean mitihani yao inafanyika mwisho wa mwaka so wengi hawaperform vizuri coz paper zinakuwa nyingi.Mi naamini ktk uwezo wa mtu "kudeliver" vitu na si GPA ingawa si wote wenye GPA kubwa hawagongi vitu.wengine wana GPA ndogo coz walikuwa faithful na kuna watu wana GPA kubwa ila ni za collabo aka featuring(walidesa).So mtu awe interviewed aangaliwe uwezo wake wa kudeliver.Someone's ability to solve problems is seen when the problems occur and not otherwise.
 
Kwa nini wasichana/wanawake hawafikii hiyo GPA ya 3.8? Ni hapo UDSM tu au ni vyuo vyote kwa fani ya sheria?
 
Sijui utaratibu wa sasa, lakini zamani ukiwa na GPA inayotosha unabaki pale kuwa TA. nasikia sasa mtindo huo hakuna hata kama umepata GPA ya 5.0 mpaka uombe ukubaliwe/ukataliwe. Zamani ilikuwa ni sheria kubalki pale ukiwa na stipulated GPA. Si ajabu wanapata lakini wanakataliwa, ukiweka na rushwa, rushwa ya ngono etc!!!

sio kweli kuhusu rushwa ya ngono na nakuomba ukanushe hilo, hao uliowataja wamepata hizo nafaisi za kubaki pale on merits and not otherwise.
 
..jamani LAW someni koote but sio UDSM! ka unataka utoke na ki.g.p.a cha ajajb ajbu,jipeleke mule! He he he he! Yan pale ni mchakamchaka mwanzo mwisho! Inatia hasira,lakin ndo ivo ngumu kumeza..! Ila mwsho wa cku,una kua compitent...itazingua ktk kupata kazi cuz of g.p.a
kwanza COURSE WORK =20%,EXAM FINAL=80%! wakati vyuo vngne 50% kwa 50%!

ila m2 aktaka gpa za maana..MU,SAUT,Tumain,Ruco..!
 
Mpigamsuli,karibia Maktaba kuu ya UDSM ujiridhishe..
 
vuat-nkuvute,nije maktaba kuu ya udsm? nijiridhishe kama mabint wanapiga msuli au la! labda wapo maktab wanasoma udaku?
 
Back
Top Bottom