John Kombo Member Joined May 15, 2013 Posts 31 Reaction score 16 Jul 16, 2015 #1 Wadau wa JF na wanasheria, ningependa kufahamishwa hili; Sheria ya fedha inasemaje juu ya kiwango cha fedha tasilimu ambacho mtu anaweza kutembea nacho? Mfano: Fedha za Dodoma (alizokamatwa nazo hotelini yule Mfanyakazi wa Quality Centre)
Wadau wa JF na wanasheria, ningependa kufahamishwa hili; Sheria ya fedha inasemaje juu ya kiwango cha fedha tasilimu ambacho mtu anaweza kutembea nacho? Mfano: Fedha za Dodoma (alizokamatwa nazo hotelini yule Mfanyakazi wa Quality Centre)
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Jul 20, 2015 #2 Zamani ilikuwa laki 5 sijui kama hii sheria ilishabadilishwa
Masamila JF-Expert Member Joined Jun 22, 2014 Posts 6,490 Reaction score 7,422 Jul 20, 2015 #3 Eh?????????????
Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,852 Jul 20, 2015 #4 Mbona naonaga watu wanatembea hata na m10..........kuna hawa jamaa zangu wana rubega hapa.........hata m60 hawakosi hawa.........
Mbona naonaga watu wanatembea hata na m10..........kuna hawa jamaa zangu wana rubega hapa.........hata m60 hawakosi hawa.........
Masamila JF-Expert Member Joined Jun 22, 2014 Posts 6,490 Reaction score 7,422 Jul 20, 2015 #5 Ndo hapo sasa.vitu vingine vinataka ushauri tu na si kufosi.