John Kombo
Member
- May 15, 2013
- 31
- 16
Wadau wa JF na wanasheria, ningependa kufahamishwa hili;
Sheria ya fedha inasemaje juu ya kiwango cha fedha tasilimu ambacho mtu anaweza kutembea nacho?
Mfano: Fedha za Dodoma (alizokamatwa nazo hotelini yule Mfanyakazi wa Quality Centre)
Sheria ya fedha inasemaje juu ya kiwango cha fedha tasilimu ambacho mtu anaweza kutembea nacho?
Mfano: Fedha za Dodoma (alizokamatwa nazo hotelini yule Mfanyakazi wa Quality Centre)