Kwa ulaya kuna sheria ya finantial fair player,sheria hiyo imeanzishwa ili kuvilinda vilabu vidogo vidogo visibemendwe na vilabu vikubwa kwenye soko la usajili japokua bado ni ngumu kucompete kwenye soko la usajili kutokana na changamoto za kiuchumi. hivyo basi team inaruhusiwa kutumia kiasi ambacho ni ndani ya maingizo yake sio kinyume chake na kilabu inayoonekana kukiuka tumeshuhudia zikiadhibiwa kwa kufungiwa usajili n.k
Kwa mantiki hiyo mpira wa Tanzania sasa unakua na vilabu vinaenda kwenye ukisasa zaidi tofauti na zamani,hivyo basi katika kuelekea huko kwenye ukisasa pia nashauri chama chetu cha mpira wa miguu(TFF) na CAF kwa ujumla katika kuiga mazuri ya ulaya pamoja na sheria zao ni muda mwafaka sasa wa kuingiza sheria hiyo ili kuvilinda vilabu vidogo vidogo kuliko sasa kila team inatumia inavyotaka wala hakuna anae hoji.karibuni kwa kujazia nyama zaidi ili kuwafikishia walengwa huko waliko.
Kwa mantiki hiyo mpira wa Tanzania sasa unakua na vilabu vinaenda kwenye ukisasa zaidi tofauti na zamani,hivyo basi katika kuelekea huko kwenye ukisasa pia nashauri chama chetu cha mpira wa miguu(TFF) na CAF kwa ujumla katika kuiga mazuri ya ulaya pamoja na sheria zao ni muda mwafaka sasa wa kuingiza sheria hiyo ili kuvilinda vilabu vidogo vidogo kuliko sasa kila team inatumia inavyotaka wala hakuna anae hoji.karibuni kwa kujazia nyama zaidi ili kuwafikishia walengwa huko waliko.