Mgumu04
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,940
- 1,055
Tafadhari ndugu yangu mimi nina rafiki yangu amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja na ametumikia kama mwezi sasa na siku chache .Ndugu zake wamefuatilia kwenye ofisi za ustawi wa jamii ili apewe kifungo cha nje ila imeonekana kuna mlolongo mrefu kila wakienda wanaambiwa atatoka kesho mara baada ya wiki sasa juzi wameenda tena ofisini wakaambiwa barua ilikosewa baada ya kuandikiwa kifungo cha mwaka wakawa wamemwandikia miezi 6 wakaseme (ustawi) kwamba wasubili (ndugu) warekebishe na atatoka jumatatu ambayo ni leo wameenda wakaambiwa hakimu aliye mhukumu hayuto ili atie saini ili atumikie kifungo cha nje swali langu ni kwamba kwa mtu yeyote anayeomba kifungo cha nje ni lazima atiliwe saini na yule hakimu aliye mhukumu au sheria ina sems nini katika ili naomba msaada wetu wana jf