Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
7Bado ngapi?
Hujuwi uwezo wa intelligence and how you can apply during a war.Mpango wa maneno wakati vitendo ni sifuri,pambaneni kwanza kuirudisha Kherson,kila siku inakombolewa mnaishia kuhamisha raia.
Sio tu Hilo ila alisema mtu akigusa hayo maeneo atashusha mabom ya Nuclear kama umemsikiliza mkuu wa NATO anasema Russian is black mailing us. Akimanisha mrusi amechoka sana hata wanajeshi hawana ham ya Vita kwasababu hawaelewi Putin anaitakia nn ardhi ya jirani zake while ana ardhi kubwa sana na haja tumia. Ukisema Putin ana tatizo la akili sidhani kama nakosea.Putin keshakuwa Masanja Mkandamizaji tu.Unaweka sheria eneo ambalo wanajeshi wako wanakimbia kama siyo Ze Comedy hiyo [emoji3]
Hapo kwenye tatizo la akili upo sahihi kabisa.Sio tu Hilo ila alisema mtu akigusa hayo maeneo atashusha mabom ya Nuclear kama umemsikiliza mkuu wa NATO anasema Russian is black mailing us. Akimanisha mrusi amechoka sana hata wanajeshi hawana ham ya Vita kwasababu hawaelewi Putin anaitakia nn ardhi ya jirani zake while ana ardhi kubwa sana na haja tumia. Ukisema Putin ana tatizo la akili sidhani kama nakosea.