Sio tu Hilo ila alisema mtu akigusa hayo maeneo atashusha mabom ya Nuclear kama umemsikiliza mkuu wa NATO anasema Russian is black mailing us. Akimanisha mrusi amechoka sana hata wanajeshi hawana ham ya Vita kwasababu hawaelewi Putin anaitakia nn ardhi ya jirani zake while ana ardhi kubwa sana na haja tumia. Ukisema Putin ana tatizo la akili sidhani kama nakosea.