Sheria ya "kufuta Kodi" ni kitanzi kwa Dkt. Mwigulu na Serikali yangu ya CCM

Acha kubeti wewe ,Toka kwny kivuli cha Hayati mwendazake uishi kwa amani.
 
Acha kubeti wewe ,Toka kwny kivuli cha Hayati mwendazake uishi kwa amani.
I am at peace and realistic.

Kwanza siwezi kumuabudu binadamu, ata huyo Magufuli nilikuwa namkosoa. Pili siwezi kuishi kwenye kivuli cha mtu especially a decesead individual.

People come and go; ideas live on.
 
Ungendelea kuwa wakala wa kuuza kadi za Chadema,ubongo wako sio wa hoja
Naona maccm mnaparuana. Haya mkimaliza mtuite tuje tuwajengee hoja. Kwa sasa acha tuangalie huu mtanange wenu unaoelekea kutuvutia watazamaji!
 
Hii mjue atakayekuwa anafuta ni raisi na waziri atakua rub stamp tu, but why ssh why madame?!
 
Labda aanze kwa kusamehe paye ndo ntajua wana Nia njema kweli
 

Hivi ulielewa kauli ya mwendazake ya "wapinzani wanatuchelewesha kuleta maendeleo? hadi akafikia kusema kuwa tusimchanganyie betri na magunzi? Hii ndiyo ilikuwa maana yake ili waweze kupitisha sheria zao za hovyo
 
Ndugu yangu wee, hii nchi watu kama hao hawaendi jela. Wezi wa kuku ndiyo wanaenda. Halafu huyo jamaa ni timu ''wajanja wajanja''. Hakuna kiongozi hapo.

Hakuna marefu yasikyokuwa na nchi anaweza kuja kutokea kiongozi akaja kuibua makando kando yake na akawekwa ndani,abaya alifanya ufirauni utwala wa jiwe bila kuguswa lakini mambo yanabadilika sio kila homa ni malaria ,sasa yupo kisonjo analala mchongoma.
 
Jikite kwenye hoja acha kulialia,CCM ndio nchi
Naona maccm mnaparuana. Haya mkimaliza mtuite tuje tuwajengee hoja. Kwa sasa acha tuangalie huu mtanange wenu unaoelekea kutuvutia watazamaji!
 
Endelea kulala hujui unachoongea
Hivi ulielewa kauli ya mwendazake ya "wapinzani wanatuchelewesha kuleta maendeleo? hadi akafikia kusema kuwa tusimchanganyie betri na magunzi? Hii ndiyo ilikuwa maana yake ili waweze kupitisha sheria zao za hovyo
 
Hizi ni miongoni mwa sheria maalum kwa ajili ya kukusanya pesa kwa ajili ya chaguzi kwa chama tawala.

Safari Bado ni ndefu Sana.
 
Ni kweli ilifaa kama Kuna kodi anataka kufuta ipelekwe Baraza la mawaziri kwa approval japo ndo hivyo urasimu utaongezeka.

Au kuwe na japo la kupendekeza kufutwa afu Waziri atangaze
 
Huenda wana nia njema.

Sasa kama matharani hayakusanyiki labda imethibitika kuwa bad debts wasiyafute?
Au haiwezekani kukusanyika kwa sababu moja ama nyingine yatabaki hivyo kwa miaka mingapi?

Sema umakini inahitajika.
 
Tusubiri
Huenda wana nia njema.

Sasa kama matharani hayakusanyiki labda imethibitika kuwa bad debts wasiyafute?
Au haiwezekani kukusanyika kwa sababu moja ama nyingine yatabaki hivyo kwa miaka mingapi?

Sema umakini inahitajika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…