OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Sheria ya Ugoni inaeleza ukidakwa na mke au mume wa mtu ni kosa la madai na unaweza kulipishwa fidia kulingana na mahakama itakavyoona.
Sasa najiuliza umepata mwanamke katika mazingira ambayo hujui au hajakueleza au ameficha utambulisho wa ndoa. Wewe kosa lako ni lipi?
Mwanamke ametongozwa, akauliza kama jamaa ameona, jamaa akakana mke wake wa ndoa. Kosa la mwanamke hapo liko wapi? Au angeanza kuulizia mitaani kwanza jamaa ana ndoa?
Hii sheria ina makosa, irekebishwe iangalie mazingira ya mtu kutokuwa na taarifa ya hali ya ndoa
Sasa najiuliza umepata mwanamke katika mazingira ambayo hujui au hajakueleza au ameficha utambulisho wa ndoa. Wewe kosa lako ni lipi?
Mwanamke ametongozwa, akauliza kama jamaa ameona, jamaa akakana mke wake wa ndoa. Kosa la mwanamke hapo liko wapi? Au angeanza kuulizia mitaani kwanza jamaa ana ndoa?
Hii sheria ina makosa, irekebishwe iangalie mazingira ya mtu kutokuwa na taarifa ya hali ya ndoa