Sheria ya kutokamata mali za serikali ya Tanzania inaposhindwa kesi za madai imepitwa na wakati TLS liangalieni hili

Sheria ya kutokamata mali za serikali ya Tanzania inaposhindwa kesi za madai imepitwa na wakati TLS liangalieni hili

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
1,108
Reaction score
1,132
Habarini,
Sheria za Tanzania haziruhusu kukamata mali za serikali na Taasisi za Umma za serikali za Tanzania katika utekelezaji wa hukumu pale inapodaiwa na kushindwa kesi za madai kitu ambacho kinawanyima haki wananchi wengi wanaoidai.

Kwa maana hiyo sheria hizo zimepitwa na wakati kwani viongozi wengi hawalipi madeni kwa kiburi tu kitu wakijua hawatafanywa lolite.

Tunaomba TLS chini ya ungozi mpya ulioimara msaidie katika kupinga sheria hizi kandamizi.
 
Habarini,
Sheria za Tanzania haziruhusu kukamata mali za serikali na Taasisi za Umma za serikali za Tanzania katika utekelezaji wa hukumu pale inapodaiwa na kushindwa kesi za madai kitu ambacho kinawanyima haki wananchi wengi wanaoidai.

Kwa maana hiyo sheria hizo zimepitwa na wakati kwani viongozi wengi hawalipi madeni kwa kiburi tu kitu wakijua hawatafanywa lolite.

Tunaomba TLS chini ya ungozi mpya ulioimara msaidie katika kupinga sheria hizi kandamizi.
Mwabukusi, this is very important and crucial. Sheria hii ilitungwa nan katili na muuaji magufuli kuminya uhuru na haki za watu kwa kiburi cha unlimited powers anazopewa na katiba mbovu!
 
Back
Top Bottom