deejaywillzz
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 637
- 224
Habari wakuu, weekend hii nilikuwa nimekaa na marafiki zangu tunapata vinywaji tukimuaga mwenzetu anarudi overseas. Polisi wakaja na gari lao wakimtafuta kaka yake na yule tuliyekuwa tunamuaga kwa kosa la kudaiwa laki mbili na mtu.
Kaka yake hakuwepo hapo kisha wakataka waingie ku search nyumba, kisha mdogo wake akauliza polisi kibali cha ku search nyumba, mabishano yakaanza baina ya Polisi na yule mdogo wake. Kilichofuatia wakamkamata mdogo wake kwa kosa la kuzuia polisi kufanya kazi yao.
Je ni kosa kuzuia polisi ku search nyumba yako hata kama hawana kibali cha ku search nyumba yako?
Kaka yake hakuwepo hapo kisha wakataka waingie ku search nyumba, kisha mdogo wake akauliza polisi kibali cha ku search nyumba, mabishano yakaanza baina ya Polisi na yule mdogo wake. Kilichofuatia wakamkamata mdogo wake kwa kosa la kuzuia polisi kufanya kazi yao.
Je ni kosa kuzuia polisi ku search nyumba yako hata kama hawana kibali cha ku search nyumba yako?