ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Moja kwa Moja kwenye mada.
Kwa wale ambao Huwa mnazaa na kutelekeza Watoto mjiandae vizuri maana Sheria ya Malezi imeboreshwa..
Ikibainika umetelekeza mtoto awe wa Nje ya ndoa au ndani basi adhabu yake ni jela Miezi 6 au Faini ya sh.Milioni 5 au vyote Kwa pamoja..
Ila Kwa mtizamo wangu mbona faini ni kubwa kuliko kifungo? Hicho kifungo kingekuwa mwaka 1.
Usije kusema hujaambiwa
========
Afisa Ustawi wa Jamii katika Halmashauri ya jiji la Dar es salaam Rosemary Wilfred amesema sheria ya sasa kwa mwanaume anayetelekeza mtoto baada ya kuzaa na mwanamke inamtaka mwanaume husika kulipa faini ya shilingi milioni tano ama kufungwa jela miezi sita au kutumika adhabu zote kwa pamoja.
Amesema wao kama maafisa wa ustawi wa jamii wanaendelea kuelimisha jamii juu ya kuzifahamu sheria za makuzi na malezi ya mtoto ili kulinda haki za mtoto za kupata malezi kutoka pande zote mbili za wazazi.
Chanzo: EastAfrica Radio
Kwa wale ambao Huwa mnazaa na kutelekeza Watoto mjiandae vizuri maana Sheria ya Malezi imeboreshwa..
Ikibainika umetelekeza mtoto awe wa Nje ya ndoa au ndani basi adhabu yake ni jela Miezi 6 au Faini ya sh.Milioni 5 au vyote Kwa pamoja..
Ila Kwa mtizamo wangu mbona faini ni kubwa kuliko kifungo? Hicho kifungo kingekuwa mwaka 1.
Usije kusema hujaambiwa
========
Afisa Ustawi wa Jamii katika Halmashauri ya jiji la Dar es salaam Rosemary Wilfred amesema sheria ya sasa kwa mwanaume anayetelekeza mtoto baada ya kuzaa na mwanamke inamtaka mwanaume husika kulipa faini ya shilingi milioni tano ama kufungwa jela miezi sita au kutumika adhabu zote kwa pamoja.
Amesema wao kama maafisa wa ustawi wa jamii wanaendelea kuelimisha jamii juu ya kuzifahamu sheria za makuzi na malezi ya mtoto ili kulinda haki za mtoto za kupata malezi kutoka pande zote mbili za wazazi.
Chanzo: EastAfrica Radio