Sheria ya ndoa lazima ibadilike

Sheria ya ndoa lazima ibadilike

Soma hapa chini. Biblia inakata katakata kutoa talaka! na ATOAE TALAKA ANA LAANA KWA MUNGU!

By divorcing his wife, the husband puts her in the position where she is strongly tempted to remarry and if she does remarry, Jesus says she is guilty of adultery and so is the man she marries (in contrast to the Mosaic Law which tolerated the remarriage). Hence, the divorce itself is wrong and should be avoided. [Cf. Matt. 18:6,7]

Romans 7:2,3

A married woman is bound by law to her husband as long as he lives. This means that if she is married to another man while her first husband is alive, she is guilty of adultery. She is free to remarry without guilt only if her husband is dead.(Some ask what "law" is this that joins the man and woman - God's law or man's law? It is the law which, when violated, makes the woman an-adulteress. Clearly this must be God's law, and this conforms to what is taught elsewhere.)

1 Corinthians 7:10,11

A married woman should not depart from her husband nor he from her. Again, divorce itself is not the will of God.

Sasa kama andiko linakulazimisha uishi na mwanamke asie na adabu mpaka kufa!!
TUKIMBILIE WAPI??? kwanini mungu wa biblia ana upendeleo!??

Hakuna mahali pamekataza talaka ktk mistari yote hiyo.
1wakorinto 7:11 "...mke asiachane na mumewe; LAKINI, IKIWA AMEACHANA NAYE..."
Huo mstari unajua kuna kuachana
 
Suala ni kwamba mke anaachwa.
Sasa hembu mtu aseme ni wapi kanisa linapata mstari wa kukataa talaka 100%!!
 
mkuu Mbokaleo unasema kweli hayo ni mambo magumu sana ila mimi nasimamia neno la Mungu linasemaje kwa habari ya kuachana. Wengine wanaweza kuwa wamezini lakini wakasameaana maisha yakaendelea. Unajua shida kubwa katika mfano wako hapo ni pale wanandoa wote hawamjui Mungu na hawajui kuwa kwa Mungu kuna msaada MAANA MAANDIKO YANASEMA KUMTEGEMEA MUNGU KUNA FAIDA.Mwanandoa mmojawapo kwa msaada wa Mungu na kwa maombi anaweza mrejeza mwenza wake anayepitia matatizo uliyoyataja hapo juu NDO MAANA YESU ALIKUFA MSALABANI MKUU! NA KWA AJILI YA MAMBO HAYO YESU ALIKUJA DUNIANI.

Ndugu jicho tai! Hili andiko liko wazi kabisa! Hata kama mke au mume anatabia mbaya kiasi gani! Kama SIO MZINIFU BASI NI MARUFUKU KUMUACHA!
Sasa kama sio kulazimishwa kukaa na mlevi. Mwizi. Mpenda matusi. Mbadhilifu wa mali. Na uchafu mwengine ni nini??

Halafu hebu fikiri kama mke au mume juu ya uchafu woote huo kukufanyia! Pia umkute ni TASA(Hawezi kuzaa).!!
Kwa mujibu wa andiko huwezi kumuacha MPAKA MMOJA WENU AFE!!

Kwa maisha tunayoishi sasa hili andiko halitufai kabisa! La si hivyo utakuta wanandoa wanatoana roho.mbona tunayaona tayari hayo!
Mtu anamfanyia mpango wa kumuondoa mwenzake kwa sababu akimpa talaka jamii itamsuta!!

Mi na imani kubwa kabisa hili andiko sidhani kama litakuwa la Mungu!!

Mungu Mkuu hawezi kuwafanyia viumbe wake ugumu kiasi hiki!! Haiingi akilini hata kidogo.
 
Hakuna mahali pamekataza talaka ktk mistari yote hiyo.
1wakorinto 7:11 "...mke asiachane na mumewe; LAKINI, IKIWA AMEACHANA NAYE..."
Huo mstari unajua kuna kuachana

Na sababu ya kuacha au kutoa talaka kwa mujibu wa andiko ni ZINAA PEKE YAKE!!

sasa wewe unakubali kweli kuwa MUNGU MWENYE HEKIMA ZOTE!
Atuwekee sisi viumbe wake masharti ambayo ni mabaya namna hii??

Yaani hata baba hawezi muwekea mwanae masharti kama hayo!

Sembuse Mungu??

Mi na imani kubwa kuna mtu kaingiza haya maneno kwenye andiko!!
Na kama tunavyojua kuwa bibloa imechakachuliwa saana!

Haiingi akili kuwa Mungu akulazimishe kukaa na mke au mume mlevi, mwizi, tapeli, mtumiaji wa madawa ya kulevya, na mgomvi wa kila siku! Eti tu kwa sababu sio mzinzi. Basi lzm ukae nae!!

Huyo Mungu hawezi kuwa muonevu kiasi hicho!! Hapa kuna mkono wa mtu!! Na mchakachuo!! Mi ndo nakwambia.
Na kama unabisha muulize mtu yyt kama hii ni haki!?
 
Na sababu ya kuacha au kutoa talaka kwa mujibu wa andiko ni ZINAA PEKE YAKE!!

sasa wewe unakubali kweli kuwa MUNGU MWENYE HEKIMA ZOTE!
Atuwekee sisi viumbe wake masharti ambayo ni mabaya namna hii??

Yaani hata baba hawezi muwekea mwanae masharti kama hayo!

Sembuse Mungu??

Mi na imani kubwa kuna mtu kaingiza haya maneno kwenye andiko!!
Na kama tunavyojua kuwa bibloa imechakachuliwa saana!

Haiingi akili kuwa Mungu akulazimishe kukaa na mke au mume mlevi, mwizi, tapeli, mtumiaji wa madawa ya kulevya, na mgomvi wa kila siku! Eti tu kwa sababu sio mzinzi. Basi lzm ukae nae!!

Huyo Mungu hawezi kuwa muonevu kiasi hicho!! Hapa kuna mkono wa mtu!! Na mchakachuo!! Mi ndo nakwambia.
Na kama unabisha muulize mtu yyt kama hii ni haki!?

Hakuna divorce ama talaka kwenye ndoa za kikristo bali ni separation ambayo haivunji ndoa
 
Utaoa ama kuolewa pale mmoja atakapo fariki

Ndio maaaana kesi za mpenzi kufa kifo cha utatanishi haziiiiiishi!

Kumbe mpaka mmoja afe!?? Aiseeee! Duhhhh!
Mi na ukristo mbali mbali! Nisije wekewa sumu ya panya bure. Kisa? Mama watoto kanichoka!
Bora wale wanaoruhusu talaka.!!
 
Back
Top Bottom