Sheria ya Tanzania hairuhusu uvutaji wa bangi lakini maduka mengi mtaani yanauza Rizzla

Sheria ya Tanzania hairuhusu uvutaji wa bangi lakini maduka mengi mtaani yanauza Rizzla

Ganja (bhangi, weed, blunt, joint) iruhusiwe au isiruhusiwe?


  • Total voters
    39

Winga dalali

Senior Member
Joined
Jul 20, 2021
Posts
196
Reaction score
265
Wadau, sheria ya Tanzania hairuhusu uvutaji wa bhangi (sigara Kubwa) Lakini maduka mengi ya mtaani kuna bidhaa inaitwa Rizzla (zigi, paper, kamba) na majina mengineyo kama ambavyo wasela huita kwa misamiati ya kamusi zajo za kitaa.

Swali ni je? Kazi ya Rizzla ni nini mbona madukani inauzwa kihalali? Lakini kitu (bhangi) hairuhusiwi?
Wapo watakaosema ya kunyongea tumbaku, si kweli.

Nina Rizzla, hapa wapi wanauza tumbaku huku mjini ninunue nitoe msokoto halali?

Nawasilisha
 
Cure..!
shutterstock_1047100399.jpg.jpeg
 
Wadau,sheria ya Tanzania hairuhusu uvutaji wa bhangi (sigara Kubwa)
Lakini,maduka mengi ya mtaani kuna bidhaa inaitwa Rizzla (zigi,paper, kamba) na majina mengineyo ,kama ambavyo wasela huita kwa misamiati ya kamusi zajo za kitaa.
Swali ,ni je? Kazi ya rizzla ni nini mbona madukani inauzwa kihalali? Lakini kitu (bhangi) hairuhusiwi?
Wapo watakaosema ya kunyongea tumbaku si kweli.
Nina rizzla hapa wapi wanauza tumbaku huku mjini ,ninunue nitoe msokoto halali.

Nawasilisha
Bangi ni kitu ambacho hakitakuja kuchukuliwa serious hapa Tanzania kwani wabunge na viongozi wengi serikalini ni watumiaji wazuri tu wa hii sigara kali
 
Wadau, sheria ya Tanzania hairuhusu uvutaji wa bhangi (sigara Kubwa) Lakini maduka mengi ya mtaani kuna bidhaa inaitwa Rizzla (zigi, paper, kamba) na majina mengineyo kama ambavyo wasela huita kwa misamiati ya kamusi zajo za kitaa.

Swali ni je? Kazi ya Rizzla ni nini mbona madukani inauzwa kihalali? Lakini kitu (bhangi) hairuhusiwi?
Wapo watakaosema ya kunyongea tumbaku, si kweli.

Nina Rizzla, hapa wapi wanauza tumbaku huku mjini ninunue nitoe msokoto halali?

Nawasilisha
Siku zote nawaambiaga vijana kama HAIJAWAI kutumia kilevi chochote basi haujawai kuishi.....

Ila siungi mkono hoja ya utumiaji wa bangi maana vijana wengi hawana ELIMU ya utumiaji wa hivi vitu na side effects zake....

Kama haujawai kutumia kilevi chochote mpaka Sasa wewe jua fika haujawai kuishi.......................

Yaa ieleweke ivyo ☝️
 
Wadau, sheria ya Tanzania hairuhusu uvutaji wa bhangi (sigara Kubwa) Lakini maduka mengi ya mtaani kuna bidhaa inaitwa Rizzla (zigi, paper, kamba) na majina mengineyo kama ambavyo wasela huita kwa misamiati ya kamusi zajo za kitaa.

Swali ni je? Kazi ya Rizzla ni nini mbona madukani inauzwa kihalali? Lakini kitu (bhangi) hairuhusiwi?
Wapo watakaosema ya kunyongea tumbaku, si kweli.

Nina Rizzla, hapa wapi wanauza tumbaku huku mjini ninunue nitoe msokoto halali?

Nawasilisha
Rizla ni kwa ajili ya kuvutia tumbaku,magazeti yanawaumiza wavutaji,magandanya mahindi hupatikana vijijini tu Tena kwa msimu
 
Back
Top Bottom