Sheria ya uchaguzi ibadilishwe haraka; mtu aliyewahi kufungwa jela asiruhusiwe kugombea cheo chochote cha siasa

Sheria ya uchaguzi ibadilishwe haraka; mtu aliyewahi kufungwa jela asiruhusiwe kugombea cheo chochote cha siasa

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Nashauri waziri wa sheria apeleke haraka mswada wa mabadiliko ya sheria ya tume ya uchaguzi bungeni wa kuzuia mtu yeyote aliyewahi fungwa jela kwa kosa lolote asiruhusiwe kugombea cheo chochote cha siasa .Hii itasaidia kuondokana na wahalifu kuingia katika siasa,Mtu alishahukumiwa certified mhalifu na akafungwa kumruhusu agombee cheo cha kisiasa si sahihi ni kuingiza magenge ya wahalifu kwenye siasa
 
Nashauri waziri wa sheria apeleke haraka mswada wa mabadiliko ya sheriaya tume ya uchaguzi bungeni wa kuzuia mtu yeyote aliyewahi fungwa jela kwa kosa lolote asiruhusiwe kugombea cheo chochote cha siasa .Hii itasaidia kuondokana na wahalifu kuingia katika siasa
Akili za kunguru.

36d2491c7218f3191db55c5fd9d6539d.jpg
 
tunaongelea Tanzania hatuongelei afrika kusini,Tanzania is not a copy cat of south africa or any other country in the world
Mkuu sheria hazibadilishwi on personal whims.
Mtu anaota, asubuhi unataka sheria zibadilike.
Not even in Tanzania.
 
Mbona sheria hiyo ipo,, tatizo mi sisiem mingi inakaririshwa tu, pitia sheria za uchaguzi utaiona,si kila kifungo kinazuia mtu ktk siasa
 
Wakati mkizibadilisha hizo sheria msisahau kuwa nyinyi ndio mtakuja kuwa waathirikpa wakubwa.
Mlipokuwa mnatamba kuanzisha mahakama ya mafisadi mlisahau kuwa hata aliyeanzisha na chama chake wote ndio mafisadi wakubwa, Sasa mahakama imekosa mafisadi huku mnaimbishwa nyimbo za ufisadi bila hata kujua.
Kwa haya mnayotaka yaanzishwe kwa kulipiza visasi ipo siku atakuja mwingine atabadilisha kifungu cha Rais kushtakiwa hapo ndio mtamkimbia mwenyekiti wenu.
 
Hivi vichwani mwenu kunakua na akili, mavi au tope.? Au mshapiga Verve mnakuja kusumbua huku JF..?
 
Akili za kunguru.

36d2491c7218f3191db55c5fd9d6539d.jpg
Huo ndo ukweli wenyewe
Nashauri waziri wa sheria apeleke haraka mswada wa mabadiliko ya sheria ya tume ya uchaguzi bungeni wa kuzuia mtu yeyote aliyewahi fungwa jela kwa kosa lolote asiruhusiwe kugombea cheo chochote cha siasa .Hii itasaidia kuondokana na wahalifu kuingia katika siasa,Mtu alishahukumiwa certified mhalifu na akafungwa kumruhusu agombee cheo cha kisiasa si sahihi ni kuingiza magenge ya wahalifu kwenye siasa
 
Nashauri waziri wa sheria apeleke haraka mswada wa mabadiliko ya sheria ya tume ya uchaguzi bungeni wa kuzuia mtu yeyote aliyewahi fungwa jela kwa kosa lolote asiruhusiwe kugombea cheo chochote cha siasa .Hii itasaidia kuondokana na wahalifu kuingia katika siasa,Mtu alishahukumiwa certified mhalifu na akafungwa kumruhusu agombee cheo cha kisiasa si sahihi ni kuingiza magenge ya wahalifu kwenye siasa
Kama ndivyo unavyotaka basi kina Mandela,Zuma wasingekuwa marais

Haya kojoa ukalale
 
Mbona sheria hiyo ipo,, tatizo mi sisiem mingi inakaririshwa tu, pitia sheria za uchaguzi utaiona,si kila kifungo kinazuia mtu ktk siasa
Wezi wa magari akina Lema walupitaje kuw a wabunge tume kulikuwa na wala rushwa au lema alidanganya kwenye fomu?
 
Back
Top Bottom