Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
Akili za kunguru.
![]()
!
!
Hii bunduki ilitakiwa iwe imevishwa Kofia ya polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za kunguru.
![]()
Nashauri waziri wa sheria apeleke haraka mswada wa mabadiliko ya sheria ya tume ya uchaguzi bungeni wa kuzuia mtu yeyote aliyewahi fungwa jela kwa kosa lolote asiruhusiwe kugombea cheo chochote cha siasa .Hii itasaidia kuondokana na wahalifu kuingia katika siasa,Mtu alishahukumiwa certified mhalifu na akafungwa kumruhusu agombee cheo cha kisiasa si sahihi ni kuingiza magenge ya wahalifu kwenye siasa
Baba wa taifa nae alilipa fine,Una mawazo ya kitoto.
Refer Madiba!
Mbona hamkuweka pingamizi ili mpate ushindi wa mezani?Wezi wa magari akina Lema walupitaje kuw a wabunge tume kulikuwa na wala rushwa au lema alidanganya kwenye fomu?
Utofauti ni nini? Hivi haujui karibia wapigania uhuru wote walifungwa kwa makosa ya uchochezi na kuwatukana wakoloni?.Umejibu kirahisi sana, ishu ya madiba ni tofauti sana.
Kila nikikumbuka jinsi utotoni walivyokuwa wanakula witi napata wasiwasi bado uneendelea na mchezo huyo na hayo ndio madhara kila ukiwashwa tu unakimbilia wanaumeNashauri waziri wa sheria apeleke haraka mswada wa mabadiliko ya sheria ya tume ya uchaguzi bungeni wa kuzuia mtu yeyote aliyewahi fungwa jela kwa kosa lolote asiruhusiwe kugombea cheo chochote cha siasa .Hii itasaidia kuondokana na wahalifu kuingia katika siasa,Mtu alishahukumiwa certified mhalifu na akafungwa kumruhusu agombee cheo cha kisiasa si sahihi ni kuingiza magenge ya wahalifu kwenye siasa
Ila ni sahihi kwa wabakaji wa watoto kupokelewa ikulu kama wafalme?Nashauri waziri wa sheria apeleke haraka mswada wa mabadiliko ya sheria ya tume ya uchaguzi bungeni wa kuzuia mtu yeyote aliyewahi fungwa jela kwa kosa lolote asiruhusiwe kugombea cheo chochote cha siasa .Hii itasaidia kuondokana na wahalifu kuingia katika siasa,Mtu alishahukumiwa certified mhalifu na akafungwa kumruhusu agombee cheo cha kisiasa si sahihi ni kuingiza magenge ya wahalifu kwenye siasa
Nashauri waziri wa sheria apeleke haraka mswada wa mabadiliko ya sheria ya tume ya uchaguzi bungeni wa kuzuia mtu yeyote aliyewahi fungwa jela kwa kosa lolote asiruhusiwe kugombea cheo chochote cha siasa .Hii itasaidia kuondokana na wahalifu kuingia katika siasa,Mtu alishahukumiwa certified mhalifu na akafungwa kumruhusu agombee cheo cha kisiasa si sahihi ni kuingiza magenge ya wahalifu kwenye siasa