kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 13,778 Reaction score 14,214 Jan 3, 2022 #1 Kusema nchi itapigwa mnada na mtu mkubwa mwenye taarifa nyingi kuhusu nchi haitoshi kuwachochea watu wavunje Sheria? Haitoshi kuwatia watu taharuki na hofu kubwa? Haitoshi kuchocbea mapinduzi? Haitoshi kuitwa uhaini? DPP hii ni kawaida?
Kusema nchi itapigwa mnada na mtu mkubwa mwenye taarifa nyingi kuhusu nchi haitoshi kuwachochea watu wavunje Sheria? Haitoshi kuwatia watu taharuki na hofu kubwa? Haitoshi kuchocbea mapinduzi? Haitoshi kuitwa uhaini? DPP hii ni kawaida?
balimar JF-Expert Member Joined Sep 18, 2015 Posts 7,743 Reaction score 13,657 Jan 3, 2022 #2 Sheria inae macho
kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 13,778 Reaction score 14,214 Jan 3, 2022 Thread starter #3 balimar said: Sheria inae macho Click to expand... Ni ile ya akinya kuku (ndugai) ni sawa lakini akinya bata (mbowe) sio Sawa, anaumwa.
balimar said: Sheria inae macho Click to expand... Ni ile ya akinya kuku (ndugai) ni sawa lakini akinya bata (mbowe) sio Sawa, anaumwa.