KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Nchi ya Kenya imepitisha sheria ya kutokutoa sauti au kupiga kelele isiyozidi umbali wa 30km, itakayoanza kutumika baada ya miezi sita ijayo.
Mpaka sasa makonda wa matatu, wenye kumbi za disko, wenye misikikiti na wagonga kengele makanisani wako kwenye wakati mgumu, huku wakijiuliza ni jinsi gani wanaweza kukwepa mkondo wa sheria.
Huko majumbani nako hali ni tete, kwani kucheka na kulia nazo ni kelele.
Mpaka sasa makonda wa matatu, wenye kumbi za disko, wenye misikikiti na wagonga kengele makanisani wako kwenye wakati mgumu, huku wakijiuliza ni jinsi gani wanaweza kukwepa mkondo wa sheria.
Huko majumbani nako hali ni tete, kwani kucheka na kulia nazo ni kelele.