Tetesi: Sheria ya usafi wa mazingira

toroka uje mjini

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2017
Posts
1,584
Reaction score
2,111
*KUANZIA KESHO 15/01/2018 Ni marufuku kutupa takataka za aina yoyote ile barabarani na sehemu yoyote ile isiyo maalumu. Ukikamatwa fine ya sh 100,000/= inakuhusu na wale abiria wanaorusha takataka nnje ya basi wakiwa safarini fine yake ni 300,000/= kuwa makini kuna watu zaidi ya elfu moja wamewekwa kila mkoa kufatilia wachafuzi wa mazingira
 
Itabidi nitembee na begi langu la mgongoni, takataka zangu zote humo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…