Sheria ya Usalama ya Mwaka 1996 Ibara ya 5:29(10) Imeiua Tanzania?

Sheria ya Usalama ya Mwaka 1996 Ibara ya 5:29(10) Imeiua Tanzania?

usalam wa taifa iliharibika mara tu walipokuwa wakijihusisha na njama za kuibeba ccm hasa kule zanzibar na kupinduwa ushindi wa cuf 1995 hapo mambo ndio yakaharibika tangu siku hiyo wakaanza kutetea maslah ya wana siasa na kuacha uchumi ukihujumiwa na mafisadi
 
MTAZAMO,

Tatizo letu ni la uvivu wa kufikiri. Siku hizi huhitaji kutembea kufuata library. Hata kwenye simu yako ya Mkono unaweza kufanya utafiti japo ndogo tu. Usalama wa Taifa sio Mungu. Fungua simu yako uone Taasisi za usalama za nchi zingine zinavyofanya kazi.

Kinachopigiwa kelele si siri za kiusalama Bali utendaji kazi wa hovyo wa Taasisi yetu, wanavyoshiriki kwenye majukumu yasiyo ya kiusalama na kujihusisha na kutoa watu kucha na meno Kama walivyofanya kina Ramadhan Ighondu au kununua maofisa wa vyama na kuwadhinikiza kutengeneza ushahidi feki. Katika desturi za usalama Mkuu wa Usalama angelikuwa amejiuzulu kitambo na Kama hafanyi hivyo Mkuu wake angelikuwba ameisha kumtimua kazi iwapo yeye siyo sehemu ya njama.

Hivyo, kinachoelezwa hapa ni kuwafanya Usalama wa Taifa Kama Miungu watu. Tunaojua haki zetu, tunaofuatilia matumizi mabaya ya fedha za Umma katika Idara ya Usalama wa Taifa tutaendelea kupiga kelele "Mpaka Kieleweke". Kama wewe au na kundi lako hamjui haki zenu, au ndio hao hao wanaotoa watu kucha au vijana wao, au ni uvivu tu wa kutokujua majukumu ya Usalama wa Taifa, basi ni vema ukakaa kimya kuliko kupotosha na kutosha watu bila sababu.

Dr. Slaa,
Would you consider reforming TISS if CHADEMA comes into power?
Is there anything done or performed by the current TISS that you appreciate??
 
Dr. Slaa,
Would you consider reforming TISS if CHADEMA comes into power?
Is there anything done or performed by the current TISS that you appreciate??

Enheeee
 
Hii mikataba mibovu tunayoingia hawa jamaa huwa hawaioni au nao ni sehemu ya tatizo?maana haieleweki kuwa na mikataba hii na wao wapo.
 
Ilikuwa kuna nchi ya kusadikika ila naamini sasa imejulikana
 
Mada yako ni nzuri ila nikukumbushe kuwa Usalama wa taifa hili upo mikononi mwa kila mtanzania...sio jukumi la USALAMA WA TAIFA peke yao...mimi na wewe ni haki yetu kuilinda nchi yetu uwe ni usalama, ama usiwe ata ukiwa mkulima bado haki ya kuilinda nchi ipo mikononi mwako.
 
Naaamini daima mlinzi wa mwisho wa nchi yoyote dunia ni USALAMA WA TAIFA wa TAIFA LOLOTE DUNIANI.

USALAMA WA TAIFA
ndio roho ya mwisho ya TAIFA kujua MAADUI WA TAIFA na NDIO washauri wa muhimu kutoa MIKAKATI ya njia gani zitumike kupambana na adui awe ni wa ndani ya nchi ama nje ya nchi.

Kwa mujibu wa sheria ya USALAMA WA TAIFA ya mwaka 1996 Ibara ya 5:2(1), kipengele hiki kinatamka HAITAKUA KAZI YA USALAMA WA TAIFA KUHAKIKISHA KUWA HATUA ZA KIUSALAMA ZINATEKELEZWA[kwa mujibu wa Kisima cha Mjadala]

Jamani kama kifungu hiki ndio sheria halali, basi kumbe hapa tulipofika USALAMA WA TAIFA SIO waliotufikisha hapa tulipo bali WATAWALA WETU NA BUNGE HILO LILOKAA NA KUTUNGA SHERIA HIYO.

Ni jukumu sasa la wao kama Walinzi wa MWISHO WA UHAI WA TAIFA wawe tayari kuivunja sheria hiyo,aiwezekana anaelinda nchi amjue adui yake [naamanisha adui wa USALAMA WA TAIFA] kisha azuiwe kujua ni jukumu la nani, njia zipi na wakati gani adui yake atashughulikiwa kumuepusha kumuua yeye kama TAIFA.

Manake hapa tulipofika sasa bila busara za walinzi wa nchi kutumika ipasavyo, nchi hii iko kwenye hatua ambayo ni bomu wakati wowote likipata mlipuaji linalipuka manake, wananchi wanaitaji majibu ya mafumbo mengi sana na ambayo wenye majibu hayo wapo bado na hawawatosherezi kwa majibu wanayotoa.

Kwa kuwa wapo na ni jukumu na wajibu wao kuwajua na kupambana [Wajibu wa walionyanganya na bunge mwaka 1996]na maadui zetu. Waludishe wajibu wao wa KUPAMBANA na maadui zetu wa ndani na nje ya nchi.

TAIFA litakapoingia kwenye matatizo wao pia ni watanzania nao watakuwa ni sehemu ya waathiliwa wa tatizo,mbaya zaidi ni DHAMBI MBAYA kwao na kwa vizazi vyao kwa KUISALITI MAMA NCHI NA WANA WA NCHI kwa kushindwa kutekeleza jukumu la kuilinda na kusimamia USTAWI WA TAIFA ambao kwao ni dhamana waliyokabidhiwa na WATANZANIA.

Wanaitajika kulingana na nyakati za sasa kuwa mabadiliko kutoka kuwa IDARAna hadi TAASISI [INSTITUTE] yenye IDARA toshelezi na yenye kujitegemea kwa kila jambo hata kama watatumia mabilioni ya shilingi kwani ghalama ya kujenga Taifa jipya na kuludisha uhai wa watakao potea kwa Taifa kuingia matatani, nini kulinganisha na mabilioni hayo. Watanzania wanalipa kodi ili Serikali iwatumikie wapate ustawi binafsi na hatimae ustawi wa Taifa zima na kwa ujumla wake. Na USALAMA WA TAIFA ndio walinzi wakuu kusimamia UHAI HUO WA WANANCHI KAMA TAIFA.

Sio vyema na sio sahihi leo wananchi wanajadiliana kuwa amani ya Taifa iko hatiani wakati wowote amani inaweza kutoweka, kisa UFISADI na tofauti kubwa ya kipato kati ya Matajiri na Maskini.

Jibu lipatikane ili gumzo la maisha ya kila siku ya watanzania wajadiliane jinsi gani Taifa lao kipato chake kimeongezeka na wajadiliane mambo ya msingi juu ya mafanikio mema ya utawala uliopo au utakao kuja. Wajadiliane dhidi ya sera zipi za Chama Tawala [Ruling Party] ama Upinzani [Opposition] ni bora kwao na kama zinastahiki kupewa nafsi ya kupewa nafsi ya kutekelezwa ili zilete ustawi.

Tufike sehemu watanzania wawe gumzo duniani kuwa AFRICA kuna Taifa limeingia kwenye DEVELOP NATION, Why Not?

Nampenda Mwl JK pamoja na msimamo wake ambao ni udikteta kwa Maslahi ya wengi ulijenga picha ya Tanzania kuwa Taifa la aina yake [Unique] ambayo ni heshima.

Mimi ni mfuasi wa IMANI Kuwa kila jambo linaloendeshwa na binadamu yoyote duniani linawezekana kwa mwingine pia. Naamini watanzania wanaweza kuwa TAIFA la kupigiwa mfano. Tunakila kitu kutufikisha hapo kuwa Taifa lenye maendeleo, tuna madini, maliasili, ardhi safi na bora, na hata maliasili watu.

Tunaitaji silaha moja USALAMA WA TAIFA kuwa na nguzo BORA na IMARA pekee kuliokoa TAIFA na kusimamia mikakati yote kwa jicho Chanya [Positive] la Ujenzi wa Taifa na kupambana na wahujumu chanya [Negative] dhidi ya Taifa.

Katika dhama hizi za leo kuendelea kuamini lolote linalohusu Usalama ni SIRI,jamani nikupoteza Taifa linaloitwa Tanzania. Ndio ni kweli Lazima yanayoendelea Ndani ya Idara [ambayo napenda kuona siku moja soon ikibidi inakua TAASISI] yanaendelea kuwa SIRI, na hata ikibidi baadae miaka Ishirini lilokuwa SIRI linaachiwa kuwa sio siri tena,kwani inasaidia kuleta tafakari baadae ni kwanini uamuzi huo ulichukuliwa, kwa faida ya Taifa. Kwani kama idara [Taasisi] nao ni watu wanaitaji kupumua kwani kikombe kikijaa maji ama chai umwagika.

Je tumefika hapa tulipo kwa Sheria za kibabe kama hiyo hapo juu ya Usalama wa Taifa 1996 ibara ya5:2(1) ili kuua nchi ama kujenga nchi?
ngoja tufukue hili kaburi.........
 
nchi za wenzetu usalama wa taifa ndio hudili na viongozi mapandikizi ya nchi jirani...........

yan wakishajua kiongozi flani ni puppet basi wanamuwahisha kwenye makao yake ya milele.........

tuna shida hio hapa bongo
 
ya Ngoswe muachieni Ngoswe..hii idara inadhalilishwa na Chadede, nashangaa kuishi nchi ambayo amani yake inalindwa na the same people that you accuse
Tuna usalama wa taifa au usalama wa ccm?
 
nchi za wenzetu usalama wa taifa ndio hudili na viongozi mapandikizi ya nchi jirani...........

yan wakishajua kiongozi flani ni puppet basi wanamuwahisha kwenye makao yake ya milele.........

tuna shida hio hapa bongo
Hapa bongo wako bize kutafuta Lissu na Mbowe wamelala wapi.

Maajabu sana, badala ya kulinda usalama wa raia wao wanahatarisha usalama wa raia.
 
je ni hii?

5.-(1) Subject to the control of the Minister, the functions of the Functions

Service of TISS shall be-

(a) to obtain, correlate, and evaluate intelligence relevant to security, and to communicate any such intelligence to the Minister and to persons whom, and in the manner which, the Director-General considers it to be in the interests of security;

(b) to advise Ministers, where the Director-General is satisfied that it is necessary to do so, in respect of matters -relevant to security, so far as those matters relate to departments or portfolios of which they are in charge;

(c) to cooperate as far as practicable and necessary with such other organs of state and public authorities within or outside Tanzania as are capable of assisting the Service in the performance of its functions.

(d) to inform the President, and any other person or authority which the Minister may so direct, of any new area of potential espionage, sabotage, terrorism or subversion in respect of which the Director-General has considered it necessary to institute surveillance.

(2) It shall not be a function of the Service-
(a) to enforce measures for security; or
(b) to institute surveillance of any person or category of persons by reason only of his or their involvement in lawful protest, or dissent in respect of any matter affecting the Constitution, the laws or the Government of Tanzania.

KIMALKIA KIGUUMUU tuwekee na kwa KIENYEJI TULICHOZOEA mkuu
 
Hakuna haja ya kuongeza nguvu kwa taasisi iliyokosa umakini wa kujitegemea ikajikuta inatumika kwa maslai ya kikundi kidogo cha watu tunahitaji kutizama upya katika katiba itakayo undwa kuhakikisha taasisi hii inaripot kwa kamati maalumu ya usalama itakayo kua chini ya bunge na kujumuisha wabunge wa chama vyote ili kamati hiyo ya usalama iwe na nguvu za kufuatilia utendaji na uwajibikaji wa TISS ilikama watapotoka iwe rahisi kuwawajibisha hata kwa kuzui pesa za walipa kodi kutumika kuwachakachua walipa kodi hao hao

Na vipi hiyo kamati na wajumbe wake wakipotoka, je nani atawawajibisha?
 
Mada yako ni nzuri ila nikukumbushe kuwa Usalama wa taifa hili upo mikononi mwa kila mtanzania...sio jukumi la USALAMA WA TAIFA peke yao...mimi na wewe ni haki yetu kuilinda nchi yetu uwe ni usalama, ama usiwe ata ukiwa mkulima bado haki ya kuilinda nchi ipo mikononi mwako.

[emoji106] [emoji106]
 
Naaamini daima mlinzi wa mwisho wa nchi yoyote dunia ni USALAMA WA TAIFA wa TAIFA LOLOTE DUNIANI.

USALAMA WA TAIFA ndio roho ya mwisho ya TAIFA kujua MAADUI WA TAIFA na NDIO washauri wa muhimu kutoa MIKAKATI ya njia gani zitumike kupambana na adui awe ni wa ndani ya nchi ama nje ya nchi.

Kwa mujibu wa sheria ya USALAMA WA TAIFA ya mwaka 1996 Ibara ya 5:2(1), kipengele hiki kinatamka HAITAKUA KAZI YA USALAMA WA TAIFA KUHAKIKISHA KUWA HATUA ZA KIUSALAMA ZINATEKELEZWA[kwa mujibu wa Kisima cha Mjadala]

Jamani kama kifungu hiki ndio sheria halali, basi kumbe hapa tulipofika USALAMA WA TAIFA SIO waliotufikisha hapa tulipo bali WATAWALA WETU NA BUNGE HILO LILOKAA NA KUTUNGA SHERIA HIYO.

Ni jukumu sasa la wao kama Walinzi wa MWISHO WA UHAI WA TAIFA wawe tayari kuivunja sheria hiyo,aiwezekana anaelinda nchi amjue adui yake [naamanisha adui wa USALAMA WA TAIFA] kisha azuiwe kujua ni jukumu la nani, njia zipi na wakati gani adui yake atashughulikiwa kumuepusha kumuua yeye kama TAIFA.

Manake hapa tulipofika sasa bila busara za walinzi wa nchi kutumika ipasavyo, nchi hii iko kwenye hatua ambayo ni bomu wakati wowote likipata mlipuaji linalipuka manake, wananchi wanaitaji majibu ya mafumbo mengi sana na ambayo wenye majibu hayo wapo bado na hawawatosherezi kwa majibu wanayotoa.

Kwa kuwa wapo na ni jukumu na wajibu wao kuwajua na kupambana [Wajibu wa walionyanganya na bunge mwaka 1996]na maadui zetu. Waludishe wajibu wao wa KUPAMBANA na maadui zetu wa ndani na nje ya nchi.

TAIFA litakapoingia kwenye matatizo wao pia ni watanzania nao watakuwa ni sehemu ya waathiliwa wa tatizo,mbaya zaidi ni DHAMBI MBAYA kwao na kwa vizazi vyao kwa KUISALITI MAMA NCHI NA WANA WA NCHI kwa kushindwa kutekeleza jukumu la kuilinda na kusimamia USTAWI WA TAIFA ambao kwao ni dhamana waliyokabidhiwa na WATANZANIA.

Wanaitajika kulingana na nyakati za sasa kuwa mabadiliko kutoka kuwa IDARAna hadi TAASISI [INSTITUTE] yenye IDARA toshelezi na yenye kujitegemea kwa kila jambo hata kama watatumia mabilioni ya shilingi kwani ghalama ya kujenga Taifa jipya na kuludisha uhai wa watakao potea kwa Taifa kuingia matatani, nini kulinganisha na mabilioni hayo. Watanzania wanalipa kodi ili Serikali iwatumikie wapate ustawi binafsi na hatimae ustawi wa Taifa zima na kwa ujumla wake. Na USALAMA WA TAIFA ndio walinzi wakuu kusimamia UHAI HUO WA WANANCHI KAMA TAIFA.

Sio vyema na sio sahihi leo wananchi wanajadiliana kuwa amani ya Taifa iko hatiani wakati wowote amani inaweza kutoweka, kisa UFISADI na tofauti kubwa ya kipato kati ya Matajiri na Maskini.

Jibu lipatikane ili gumzo la maisha ya kila siku ya watanzania wajadiliane jinsi gani Taifa lao kipato chake kimeongezeka na wajadiliane mambo ya msingi juu ya mafanikio mema ya utawala uliopo au utakao kuja. Wajadiliane dhidi ya sera zipi za Chama Tawala [Ruling Party] ama Upinzani [Opposition] ni bora kwao na kama zinastahiki kupewa nafsi ya kupewa nafsi ya kutekelezwa ili zilete ustawi.

Tufike sehemu watanzania wawe gumzo duniani kuwa AFRICA kuna Taifa limeingia kwenye DEVELOP NATION, Why Not?

Nampenda Mwl JK pamoja na msimamo wake ambao ni udikteta kwa Maslahi ya wengi ulijenga picha ya Tanzania kuwa Taifa la aina yake [Unique] ambayo ni heshima.

Mimi ni mfuasi wa IMANI Kuwa kila jambo linaloendeshwa na binadamu yoyote duniani linawezekana kwa mwingine pia. Naamini watanzania wanaweza kuwa TAIFA la kupigiwa mfano. Tunakila kitu kutufikisha hapo kuwa Taifa lenye maendeleo, tuna madini, maliasili, ardhi safi na bora, na hata maliasili watu.

Tunaitaji silaha moja USALAMA WA TAIFA kuwa na nguzo BORA na IMARA pekee kuliokoa TAIFA na kusimamia mikakati yote kwa jicho Chanya [Positive] la Ujenzi wa Taifa na kupambana na wahujumu chanya [Negative] dhidi ya Taifa.

Katika dhama hizi za leo kuendelea kuamini lolote linalohusu Usalama ni SIRI,jamani nikupoteza Taifa linaloitwa Tanzania. Ndio ni kweli Lazima yanayoendelea Ndani ya Idara [ambayo napenda kuona siku moja soon ikibidi inakua TAASISI] yanaendelea kuwa SIRI, na hata ikibidi baadae miaka Ishirini lilokuwa SIRI linaachiwa kuwa sio siri tena,kwani inasaidia kuleta tafakari baadae ni kwanini uamuzi huo ulichukuliwa, kwa faida ya Taifa. Kwani kama idara [Taasisi] nao ni watu wanaitaji kupumua kwani kikombe kikijaa maji ama chai umwagika.

Je tumefika hapa tulipo kwa Sheria za kibabe kama hiyo hapo juu ya Usalama wa Taifa 1996 ibara ya5:2(1) ili kuua nchi ama kujenga nchi?

Nadhani sheria iko vizuri sana. Sio jukumu la Usalama wa taifa kumkamata mtu. Imagine wakianza kukamata si watajulikana wote? Utendaji wao uko makini na wana taratibu zao kutoa taarifa kwa hatua zaidi. Ni kitengo muhimu sana kwa mustakabali wa usalama wa nchi hii...yaani kinapaswa kisiingiliwe na siasa kabisa ili kipate kutenda vema...ilipaswa DG awe anateuliwa na mhimili usiofungamana na siasa za upande mmoja.
 
Nadhani sheria iko vizuri sana. Sio jukumu la Usalama wa taifa kumkamata mtu. Imagine wakianza kukamata si watajulikana wote? Utendaji wao uko makini na wana taratibu zao kutoa taarifa kwa hatua zaidi. Ni kitengo muhimu sana kwa mustakabali wa usalama wa nchi hii...yaani kinapaswa kisiingiliwe na siasa kabisa ili kipate kutenda vema...ilipaswa DG awe anateuliwa na mhimili usiofungamana na siasa za upande mmoja.
Raha ilioje kuona Nchi yangu iko kwenye right truck thanks God...
 
Back
Top Bottom