M Mouzey Member Joined Jan 30, 2013 Posts 5 Reaction score 1 Apr 20, 2013 #1 Wana JF embu nisaidien katika hili, inafahamika Tz ni kosa kutoa mimba kisheria, ila kama m2 akiwa na matatizo kiafya yanayoweza ku7bshwa na ujauzto alioupata na akataka kutoa ni sheria zp anazopaswa kuzifuata kabla ya kutoa ujauzito huo?
Wana JF embu nisaidien katika hili, inafahamika Tz ni kosa kutoa mimba kisheria, ila kama m2 akiwa na matatizo kiafya yanayoweza ku7bshwa na ujauzto alioupata na akataka kutoa ni sheria zp anazopaswa kuzifuata kabla ya kutoa ujauzito huo?
nameless girl JF-Expert Member Joined Apr 22, 2012 Posts 4,195 Reaction score 2,678 Apr 23, 2013 #2 ushahidi wa expert (daktari) unajitosheleza