Wana JF embu nisaidien katika hili, inafahamika Tz ni kosa kutoa mimba kisheria, ila kama m2 akiwa na matatizo kiafya yanayoweza ku7bshwa na ujauzto alioupata na akataka kutoa ni sheria zp anazopaswa kuzifuata kabla ya kutoa ujauzito huo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.