Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna uwezo wa kimzuia Waziri wewe hiyo ni Serikali,Wachezaji wa kigeni wanaua Vipaji vya wachezaji wa ndani ,unakuta klabu inapanga washambuliaji wote wa kigeni lini mshambuliaji mzawa ataibuka mfungaji bora na akaisaidia Timu ya Taifa?Tuache kuthamini wachezaji wa nje.
Eeeh kufa kufaana yan...Akina Samata, msuva, ulimwengu, faridi,nk wajiandae nao kukaa benchi maana wameenda kuua vipaji vya nchi walikokwenda kucheza
wanasema ukimwaga mboga wao wanamwaga ugali.Eeeh kufa kufaana yan...
Miaka yote ambayo wachezaji wa njee walikua hawapo au wapo waku hesabika soka letu lilikuajeYuko sahii,amelenga kukuza soka la nchi yetu!
Kama hujui kitu ni vyema ukakaa kimya, unaifahamu EPL ile ligi ya taifa la malkia?Huna uwezo wa kimzuia Waziri wewe hiyo ni Serikali,Wachezaji wa kigeni wanaua Vipaji vya wachezaji wa ndani ,unakuta klabu inapanga washambuliaji wote wa kigeni lini mshambuliaji mzawa ataibuka mfungaji bora na akaisaidia Timu ya Taifa?Tuache kuthamini wachezaji wa nje.
Yani wadau wa michezo tunaangaika kuhamasisha wachezaji kwenda nje wao wanazuia wale wa nje kuja nchini kwetu.Akina Samata, msuva, ulimwengu, faridi,nk wajiandae nao kukaa benchi maana wameenda kuua vipaji vya nchi walikokwenda kucheza
Yuko sahii,amelenga kukuza soka la nchi yetu!
Akina Samata, msuva, ulimwengu, faridi,nk wajiandae nao kukaa benchi maana wameenda kuua vipaji vya nchi walikokwenda kucheza
Yani wadau wa michezo tunaangaika kuhamasisha wachezaji kwenda nje wao wanazuia wale wa nje kuja nchini kwetu.
Hivi Jupiter league ya Belgium ingekuwa ina sheria za kidada kama hizi za mwakyembe Samatta ambaye anamuhusudu kama Mungu mtu hadi anaacha kulala anakwenda kumpokea JKNIA usiku wa manane angekuwa wapi?
Mwakyembe pombe kali acha!
Huna uwezo wa kimzuia Waziri wewe hiyo ni Serikali,Wachezaji wa kigeni wanaua Vipaji vya wachezaji wa ndani ,unakuta klabu inapanga washambuliaji wote wa kigeni lini mshambuliaji mzawa ataibuka mfungaji bora na akaisaidia Timu ya Taifa?Tuache kuthamini wachezaji wa nje.
Yuko sahii,amelenga kukuza soka la nchi yetu!
Wachezaji wetu hawajitumi kabisa wanategemea hizo nafasi maalumu wagombanie nafasi za kucheza sio mbeleko... Kama bocco alivyofanyaHuna uwezo wa kimzuia Waziri wewe hiyo ni Serikali,Wachezaji wa kigeni wanaua Vipaji vya wachezaji wa ndani ,unakuta klabu inapanga washambuliaji wote wa kigeni lini mshambuliaji mzawa ataibuka mfungaji bora na akaisaidia Timu ya Taifa?Tuache kuthamini wachezaji wa nje.
Hapo wanajisahaulisha kwamba ni kwanini tunawaita kina Samatta, Msuva, Yusuf na huku tukihangaika kuwatafuta wengine wao...wenzenu wanapambana kutoka waende ulaya sio kupigania kucheza ligi za ndani.