Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Salamu zenu waungwana,
Nawakaribisha kwenye bandiko hili ili tuweze kuulizana na kujibiana kuhusu Sheria za kazi hapa nchini Tanzania. Mimi pamoja na wasomi wenzangu wa sheria wenye nia kama yangu ya kutoa elimu, ingawa ni kwa ufupi, tutajibu maswali yenu wadau.
Tujitahidi kuuliza maswali yanayoeleweka na ya uhalisia.Karibuni sana!
Polepole mkuu!!hatutaki sheria za kazi hapa tunataka mafao yetu tu. hatuna muda wa kusubiri 55 yrs. Kama hakuna jibu katika hili hata hizo sheria hazina maana.
Kama ungejua kuwa hata hiyo 55 ni kwa mujibu wa sheria ungenyamaza tuhatutaki sheria za kazi hapa tunataka mafao yetu tu. hatuna muda wa kusubiri 55 yrs. Kama hakuna jibu katika hili hata hizo sheria hazina maana.
kwa hiyo tukimaliza mkataba na 30yrs tuendelee kusubiri tu mpaka 55yrs kwa maana ni sheria?Kama ungejua kuwa hata hiyo 55 ni kwa mujibu wa sheria ungenyamaza tu
Ulimpigia nani kura? Jibu hapo halafu tujadili kujitoahatutaki sheria za kazi hapa tunataka mafao yetu tu. hatuna muda wa kusubiri 55 yrs. Kama hakuna jibu katika hili hata hizo sheria hazina maana.
Unachanganya mada.kwa hiyo tukimaliza mkataba na 30yrs tuendelee kusubiri tu mpaka 55yrs kwa maana ni sheria?
Nimestaafu nadai mafao yangu ambayo yko kwenye staff regulation za shirika kama kupewa benefit fulani fulani. Kwa ajili ya kukosa fedha wamenipa barua kuwa tukipata tutakulipa. Now it is two years. limitation period inasemaje katika situation kama hii.Salamu zenu waungwana,
Nawakaribisha kwenye bandiko hili ili tuweze kuulizana na kujibiana kuhusu Sheria za kazi hapa nchini Tanzania. Mimi pamoja na wasomi wenzangu wa sheria wenye nia kama yangu ya kutoa elimu, ingawa ni kwa ufupi, tutajibu maswali yenu wadau.
Tujitahidi kuuliza maswali yanayoeleweka na ya uhalisia.Karibuni sana!
hatutaki sheria za kazi hapa tunataka mafao yetu tu. hatuna muda wa kusubiri 55 yrs. Kama hakuna jibu katika hili hata hizo sheria hazina maana.
Yap!....Umenena mkuu...nasubiri jibu na mimihatutaki sheria za kazi hapa tunataka mafao yetu tu. hatuna muda wa kusubiri 55 yrs. Kama hakuna jibu katika hili hata hizo sheria hazina maana.
Pole. Nina swali la kutaka kujua maana yapo mafao ya aina kama mna mkataba wa hiari au staff regulations zilizoidhinishwa na mamlaka husika.Nimestaafu nadai mafao yangu ambayo yko kwenye staff regulation za shirika kama kupewa benefit fulani fulani. Kwa ajili ya kukosa fedha wamenipa barua kuwa tukipata tutakulipa. Now it is two years. limitation period inasemaje katika situation kama hii.
Hii sheria sio ya ccm na haina siasa. Ili uweze kulipwa pensheni ni lazima uchangie si chini ya miezi 180 au miaka 15. Ndio maana unaambiwa huwezi ajiriwa kwa masharti ya pensheni kama una zaidi ya miaka 45. Wanataka kutimiza masharti ya sheria.Hii sheria itatufanya tufe napema kwa kigezo cha kusubiri pesheni
Let's say mtu unapiga kazi hadi 40 years, unataka uachane na kazi etu usubirie miaka 15 mbele!!!!!! Ili upate pensheni yako
Ccm imefikia ukomo bora iondoke tu
Yaani ha
Sheria haimlazimishi mwajiri kumwajiri mtu. Swala la msingi ni je ulipopunguzwa kazi taratibu zilifuatwa? Ukilipwa stahiki zako?Kuhusu retrenchment na re employment inasemaje? Kuna kampuni ilini retrench kisa kazi hamna sasa imepata kazi ya muda inataka kuleta wageni Hali mimi nipo sina kazi
Namba moja. Ni mafao ya kwenye shirika =staff regulations zilizoidhinishwa na mamlaka husika..Pole. Nina swali la kutaka kujua maana yapo mafao ya aina kama mna mkataba wa hiari au staff regulations zilizoidhinishwa na mamlaka husika.
1. Yapo mafao yanayolipwa na mwajiri.Hapa inabidi pamoja na barua ya kustaafu akokotoe kila kipengele ujue unadai shilingi ngapi.
2. Yapo mafao ambayo unalipwa na mifuko ya hifadhi za jamii baada ya mwajiri wako kuwasilisha michango kwa wakati. Ilibidi uwe umechukua statement kwenye mfuko kuona kama michango yako imewasilishwa na hakuna mapengo.
Swali unasubiri na.1 au 2 au vyote?
Sheria haimlazimishi mwajiri kumwajiri mtu. Swala la msingi ni je ulipopunguzwa kazi taratibu zilifuatwa? Ukilipwa stahiki zako?
Kama kazi zimepatikana una haki ya kuomba tena ila ujue utafikiriwa kama wengine na kama utendaji wako ulikuwa mzuri hawawezi kukuacha kama unakidhi vigezo.