Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Salamu zenu waungwana,
Nawakaribisha kwenye bandiko hili ili tuweze kuulizana na kujibiana kuhusu Sheria za kazi hapa nchini Tanzania. Mimi pamoja na wasomi wenzangu wa sheria wenye nia kama yangu ya kutoa elimu, ingawa ni kwa ufupi, tutajibu maswali yenu wadau.
Tujitahidi kuuliza maswali yanayoeleweka na ya uhalisia.Karibuni sana!
Nawakaribisha kwenye bandiko hili ili tuweze kuulizana na kujibiana kuhusu Sheria za kazi hapa nchini Tanzania. Mimi pamoja na wasomi wenzangu wa sheria wenye nia kama yangu ya kutoa elimu, ingawa ni kwa ufupi, tutajibu maswali yenu wadau.
Tujitahidi kuuliza maswali yanayoeleweka na ya uhalisia.Karibuni sana!