Sheria za kazi

Zuberih

Member
Joined
Dec 22, 2017
Posts
15
Reaction score
20
Naombeni msaada wenu kwa anayefajamu,,Mimi nimefanya kazi kwenye kampuni moja ya wahindi kwa miaka 12 bila kuajiriwa wala kukatiwa NSSF kuanzia march 2006 hadi November 2017,,sasa wameniachisha kazi bila kunilipa chochote,,sasa je kisheria hapo inakuaje,? Naweza kudai Haki zangu kwa njia gani??,,,,naombeni ufafanuzi wa kisheria hapo kwa anayefahamu
 
Mbona hamnipi maelekezo??
Nenda (CMA) commission of mediation and arbitration wape malalamiko yako watajua jinsi ya kukusaidia,
Siku nyingine usikubali kufanya kazi bila mkataba wa maandishi maana mwajiri anaweza kukukataa maana hauna ushahidi wa maandishi
 
Poa mkuu ,,ngoja sikukuu zipite niende huko
 
Kama nikikwama itabidi nisonge hadi wizara ya kazi
 
Kama nikikwama itabidi nisonge hadi wizara ya kazi
Malipo ya ujira wako yalifanyikaje. Je.uliwahi kujiunga na mfuko.wa.hifadhi.ya jamii mf nssf nakadhalika. Makubaliano yalikuwa ni yapi. Maswali ni mengi. Piga 0712672210 kwa ushauri wa bure tu.
 
Ilikua kila nikiulizia suala la ajira nazungushwa tu tangu 2007,,
 
Kwahiyo sikuwahi kuajiriwa na malipo walikua wananipa tu mkononi,,,
 
Pole sana ndugu yetu, kupitia wewe wengi tutajifunza
 
Wakuu habari za humu? Mimi nafanya kazi bila mkataba na mshahara wangu nalipwa cash haipiti bank! Je kuna risk zipi katika ajira yangu hii?
 
Ulikuwa na mkataba wa kazi mkuu
 
Nenda TUICO maeneo ya buguruni malapa. Hakikisha siku thelathini hazijapita tangu uachishwe kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…