Sheria za kazi

lwa kalolo

Senior Member
Joined
Nov 24, 2014
Posts
173
Reaction score
94
Wakuu sheria inasemaje juu ya mtu aliyefukuzwa kazi ktk mashirika yasiyo ya kiserikali na kisha kuchafuliwa cv ktk mtandao?
 
Aende commission for mediation and arbitration mapema ili awashtaki
 
hebu kuwa wazi umefukuzwa katika mazingira gani? maana hatuwezi kukusaidia kisheria bila ya kutoa details muhim!
 
nauliza wanasheria vp kuhusu hizi kapuni za taka ambazo ukifungua tu frem ya biashara wanakudai uchangie mia mbili kwa siku biashara yenyewe utakuta ni uduma za kipesa uzalishi taka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…