note: hii na kwa uelewa wangu sina uhakika kisheriaNaomba kujuzwa yafuatayo kwa wajuzi wa masuala ya jeshi.
1-je raia anaruhusiwa kuipigia bendera ya nchi saluti ?
2-iwapo askari alievaa sare atagoma kutoa kitambulisho,raia anaruhusiwa kupambana nae ili asipelekwe kokote ?
*ikitokea raia amefanya hivyo je sheria inamlinda vipi ?
3-je raia wa kawaida anaruhusiwa kumkamata askari ambae ametenda uhalifu hata kama amevaa sare ?
wajuzi wa sheria karibuni kwa msaada.