Sheria za nchi zinasemaje kuwafukuza wapangaji walioenda kinyume na makubaliano ya mdomo?

Sheria za nchi zinasemaje kuwafukuza wapangaji walioenda kinyume na makubaliano ya mdomo?

chala41

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
300
Reaction score
606
Kiufupi hawa wapangaji wengine ni wajinga kupitiliza wasio heshimu imani za watu.

Nipo mkoani huko mjini kwenu dasilamu nimeacha kimjengo changu na kina wapangaji.

Masharti yangu ni kuwa mpangaji awe ana familia yani awe kama ni mume ameoa au mke awe ameolewa hivyo au kama hajaolewa au kuoa basi hatakiwa kuvusha humo ndani.

Sasa kuna hawa wadada wawili japo sijawai kuwaona napokea tu kodi zao kupitia kwa mdau hapo mtaani.

Napenyezewa taarifa kuwa uzalendo umewashinda na sasa wamegeuza hapo nyumbani kama gest bubu.

Huwa sometimes wanaingiza wanaume ndani na wanachofanya wao wanakijua wenyewe.

Sasa mimi nilichopanga ni kuwafukuza na sio kuwapa notice wala kuwarudishia hela zao mana sijawai kukerwa kama nilivyosikia hizi habari.

Nimeghadhibika sana na hawa watoto wa kike ambao hawana maadili hata kidogo.

Hii imenishushia heshima sana coz hapo mtaani mimi ni maalim mkubwa sana.

Mtu mpaka anaweka masharti yake kuna kitu amelenga mana hapa inakuwa kama mwenye nyumba ndio kiunganishi cha zambi zao za uzinifu.

Wapangaji wangu mtanisamehe nipo tayari kwenda kokote kodi hawapati na wanahama.
 
Notice ya Mwezi mzima bila malipo watafte sehemu ya kwenda ila kwanza kama walikuwa hawajamalizia miezi yao ya kodi wape taarifa ya maandishi kwamba wakimaliza kodi yao utoweza kuendelea nao. Maana huna uthibitisho wa maandishi kwamba uliwapa vigezo na masharti wakayakiuka.
 
Notice ya Mwezi mzima bila malipo watafte sehemu ya kwenda ila kwanza kama walikuwa hawajamalizia miezi yao ya kodi wape taarifa ya maandishi kwamba wakimaliza kodi yao utoweza kuendelea nao. Maana huna uthibitisho wa maandishi kwamba uliwapa vigezo na masharti wakayakiuka.
Kuhusu kutokuwa na ushahidi wa kukiuka makubaliano ya upangaji atautoa yule aliyesimamia kwa niaba ya mwenye nyumba.
 
Notice ya Mwezi mzima bila malipo watafte sehemu ya kwenda ila kwanza kama walikuwa hawajamalizia miezi yao ya kodi wape taarifa ya maandishi kwamba wakimaliza kodi yao utoweza kuendelea nao. Maana huna uthibitisho wa maandishi kwamba uliwapa vigezo na masharti wakayakiuka.
Mwezi mmoja bure ?? Wanikosee alafu wanipe mwezi mmoja bure
 
Yani Kodi yangu aijaisha unifukuze na usinirudishiee....!khaa
Hasira bila pesa kama Una imba pambio tuuh wape Chao waondoke au Kausha usitafute ugomvi
 
Kiufupi hawa wapangaji wengine ni wajinga kupitiliza wasio heshimu imani za watu.

Nipo mkoani huko mjini kwenu dasilamu nimeacha kimjengo changu na kina wapangaji.

Masharti yangu ni kuwa mpangaji awe ana familia yani awe kama ni mume ameoa au mke awe ameolewa hivyo au kama hajaolewa au kuoa basi hatakiwa kuvusha humo ndani.

Sasa kuna hawa wadada wawili japo sijawai kuwaona napokea tu kodi zao kupitia kwa mdau hapo mtaani.

Napenyezewa taarifa kuwa uzalendo umewashinda na sasa wamegeuza hapo nyumbani kama gest bubu.

Huwa sometimes wanaingiza wanaume ndani na wanachofanya wao wanakijua wenyewe.

Sasa mimi nilichopanga ni kuwafukuza na sio kuwapa notice wala kuwarudishia hela zao mana sijawai kukerwa kama nilivyosikia hizi habari.

Nimeghadhibika sana na hawa watoto wa kike ambao hawana maadili hata kidogo.

Hii imenishushia heshima sana coz hapo mtaani mimi ni maalim mkubwa sana.

Mtu mpaka anaweka masharti yake kuna kitu amelenga mana hapa inakuwa kama mwenye nyumba ndio kiunganishi cha zambi zao za uzinifu.

Wapangaji wangu mtanisamehe nipo tayari kwenda kokote kodi hawapati na wanahana

Mwezi mmoja bure ?? Wanikosee alafu wanipe mwezi mmoja kwan
Kiufupi hawa wapangaji wengine ni wajinga kupitiliza wasio heshimu imani za watu.

Nipo mkoani huko mjini kwenu dasilamu nimeacha kimjengo changu na kina wapangaji.

Masharti yangu ni kuwa mpangaji awe ana familia yani awe kama ni mume ameoa au mke awe ameolewa hivyo au kama hajaolewa au kuoa basi hatakiwa kuvusha humo ndani.

Sasa kuna hawa wadada wawili japo sijawai kuwaona napokea tu kodi zao kupitia kwa mdau hapo mtaani.

Napenyezewa taarifa kuwa uzalendo umewashinda na sasa wamegeuza hapo nyumbani kama gest bubu.

Huwa sometimes wanaingiza wanaume ndani na wanachofanya wao wanakijua wenyewe.

Sasa mimi nilichopanga ni kuwafukuza na sio kuwapa notice wala kuwarudishia hela zao mana sijawai kukerwa kama nilivyosikia hizi habari.

Nimeghadhibika sana na hawa watoto wa kike ambao hawana maadili hata kidogo.

Hii imenishushia heshima sana coz hapo mtaani mimi ni maalim mkubwa sana.

Mtu mpaka anaweka masharti yake kuna kitu amelenga mana hapa inakuwa kama mwenye nyumba ndio kiunganishi cha zambi zao za uzinifu.

Wapangaji wangu mtanisamehe nipo tayari kwenda kokote kodi hawapati na wanahama.
Kwa nn hutoagi mikataba? Au unakwepa Kodi TRA? Unaonekana ww mswahili sana ,ndo dini Yako imekuambia uwe zulumati kias hicho? Warudishie ela zao walizopata Kwa njia unazo ona ni haramu Kwa nn uwafukuze watu haramu na ela zao unabaki nazo?? Ungekua unamuogopa Mungu wako ungewapa ela zao na ziada waondoke ,alaf wakat mwingne nenda Kwa wanasheria ulipe consultation fee,ili upate ushaur usipende vya bure
 
Ndo maana wenye nyumba wengine wanaweka kigezo cha kupangisha wanandoa tu ili kukwepa mambo Kama haya
 
Back
Top Bottom