1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 604
Wadau naomba kujuzwa,nina utata kidogo juu ya sheria za ndoa,mfano mimi nikiwa mkristu na nimefunga ndoa ya kanisani,je nitaruhusiwa kisheria kufunga ndoa nyingine bomani(ya kiserikali)? na kama nina ruhusiwa je bomani naweza funga ndoa ngapi?kwa maana ya je kuna limitation yeyote ya idadi ya ndoa!naombeni mnifungue macho!asanteni