Sheria za Ulimwengu hazijui ujinga wala umaskini wako, jipe bidii ili uwe na furaha

Sheria za Ulimwengu hazijui ujinga wala umaskini wako, jipe bidii ili uwe na furaha

MUWHWELA

Senior Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
167
Reaction score
238
Nikusalimu ndugu yangu Katika utu na uzima wetu, "hakuna mfano nyuma ya mfano nyuma ya mfano Kuna Imani"
---------
Nimekuja kugundua jambo moja kubwa tu ambalo kama kundi kubwa tukilielewa basi Afrika muda si mrefu sana tunaweza kuanza kuwa watu huru.

Ulimwengu huu unaendesha mambo yake kwa sheria ya Asili, au kwa LUGHA nyepesi ulimwengu unajiendesha wenyewe kwa sheria zake kama ilivyo kwa Mwili wa kiumbe hai kama binadamu, mdudu au mmea wowote uwao na ulimwengu huu uko hivyo.

Tumepumbazwa na taarifa tulizozikuta,hatutaki kuzihoji,ukizihoji wamekutengenezea mazingira ujione ni mkosefu,usiye na NIDHAMU, Hii yote siyo bahati mbaya ni makusudi mazima Ili wewe na Mimi tuendelee kuwa bidhaa Yao vizazi vyote. Hii haikubaliki Tena.

1-Hakuna kufanikiwa kifedha bila kuzalisha,hakuna Maombi Wala nyumba ya Ibada itakupa utajiri, amka kazalishe bidhaa au huduma Ili utatue challenge ya Mwingine ( sheria)

2-Ardhi-hakuna maisha bila Ardhi acha ujinga wa kuona maisha ni kula na kulala,which unaweza kulala popote ukaridhika tu..sikia Dunia inapoenda usipokuwa na kipande Cha Ardhi Cha kuzalisha mmea wa aina yoyote Ili u-feed tumbo lako, utakuwa mtumwa Tena (Mwili ni Ardhi)bila Ardhi hakuna Mwili

3-Maji- Bila maji hakuna UHAI ,Lakini hayo hayo maji kiasili ilipaswa yawe Bure kabisa Lakini Leo ni biashara, japo Ukiwa na utimamu wa kufikiri utajisemea more than 75% ya ulimwengu huu ni maji ,why nauziwa Tena? Uchaguzi ni wako ubaki uuziwe na uende mahala ukapate maji as nature need.

4-Jua- Hakuna UHAI wa chochote bila jua, mfano Mwili wako Ukipata jua vizuri unajiponya wenyewe, je tunasubili mzungu aje ATUPE haya maarifa,usipoanza wewe ataanzisha nani? Jukumu langu la kwanza ni kujiwajibikia,lazima tuelewe Hilo.

MWISHO- matukio halisi ya historia ya ulimwengu yamefichwa, ni lazima ubaki kuwa mjinga Ili UMASKINI ukupige vizuri,ukipigwa na UMASKINI vizuri utaanza kuwatii mpka wendawazimu kwa sababu ya njaa Yako.

Think out the box, why sheria za Dunia zinakuwa Kali sana usipotekeleza? Ever you asked yourself why, wewe na ujinga wako ni bidhaa Yao lazima wailinde kwa gharama yoyote.

"Yoyote anayemiliki fasihi anaendesha kuwaza na kufikiri kwako"

DINI,SHULE,SIASA VYOTE NI FASIHI,IRUHUSU AKILI YAKO IKUWEKE HURU NA HUU MTEGO
 
Nakazia.

In the jungle of life, Salvation is largely on your hands.

There's no God, spirit or any supernatural power to help your problems.

In this world, Everyone is 100% responsible to think and reason properly to solve his or her own problems.
 
Vipi kuhusu hewa na Giza........hata hivi vinatenda kazi kubwa katika maisha ya mwanadamu. Mfano hewa tunayovuta kila siku hatuifikirii lakini ndio chanzo cha uhai wa kila kiumbe hai, hata ubongo wetu ukikosa hewa unashindwa ku-function.

Je, vp kuhusu giza imagine jua lingekuwa linawaka usiku na mchana tungekuwa na Dunia ya aina gani? Ni sawa na moto na barafu, moto kazi yake ni kurelease energy lakini barafu kazi yake ni kupooza, right.
Kuna baadhi ya wanyama usiku ndio wana kuwa active na ndio muda wao sahihi wa kujitafutia chakula chao. Mfano mzuri Bundi na Popo.

So, kila kitu kipo pale kwa kusudi maalum, that's is the law of universe(nature).​
 
Vipi kuhusu hewa na Giza........hata hivi vinatenda kazi kubwa katika maisha ya mwanadamu. Mfano hewa tunayovuta kila siku hatuifikirii lakini ndio chanzo cha uhai wa kila kiumbe hai, hata ubongo wetu ukikosa hewa unashindwa ku-function.

Je, vp kuhusu giza imagine jua lingekuwa linawaka usiku na mchana tungekuwa na Dunia ya aina gani? Ni sawa na moto na barafu, moto kazi yake ni kurelease energy lakini barafu kazi yake ni kupooza, right.
Kuna baadhi ya wanyama usiku ndio wana kuwa active na ndio muda wao sahihi wa kujitafutia chakula chao. Mfano mzuri Bundi na Popo.

So, kila kitu kipo pale kwa kusudi maalum, that's is the law of universe(nature).
You nailed it brother!!!!!-- Hewa haijawa include kwenye andiko hili kwa sababu moja tu yenyewe ni key-center ya chochote kinachoishi.
 
bro una maarifa nayohitaji aisee..una vitu flan kama andrew tate..naomba niku pm
 
You nailed it brother!!!!!-- Hewa haijawa include kwenye andiko hili kwa sababu moja tu yenyewe ni key-center ya chochote kinachoishi.
Vipi kuhusu jua coz nalo ni (key centre), coz tukirudi kwenye food web na food chain..........at the first stage utakutana na producers (mimea) ambapo source of energy wanaitoa kwenye jua under presence of chlorophyll na kui-convert kuja kupata carbohydrates pamoja na oxygen during the day. I hope you remember that reaction known as photosynthesis.

Maji pia ni (key centre), did you know kwamba kwenye maji kuna oxygen that's why chemical formula ya maji ni (H2O)

I hope you gat my point, right.​
 
Vipi kuhusu hewa na Giza........hata hivi vinatenda kazi kubwa katika maisha ya mwanadamu. Mfano hewa tunayovuta kila siku hatuifikirii lakini ndio chanzo cha uhai wa kila kiumbe hai, hata ubongo wetu ukikosa hewa unashindwa ku-function.

Je, vp kuhusu giza imagine jua lingekuwa linawaka usiku na mchana tungekuwa na Dunia ya aina gani? Ni sawa na moto na barafu, moto kazi yake ni kurelease energy lakini barafu kazi yake ni kupooza, right.
Kuna baadhi ya wanyama usiku ndio wana kuwa active na ndio muda wao sahihi wa kujitafutia chakula chao. Mfano mzuri Bundi na Popo.

So, kila kitu kipo pale kwa kusudi maalum, that's is the law of universe(nature).​
Giza halijawahi kuwepo na halitakuwepo miele
Kuna Light mwanga huu ndio asili that's why tunasoma darasani habari za light na tabia zake ila huwezi kuusoma giza kwakuwa giza halipo yaan ukiona giza ujue mwanga umezibwa yaan giza ni absence of light huwezi kusoma giza yaan giza linatokea endapo hakuna mwanga
 
Nakazia.

In the jungle of life, Salvation is largely on your hands.

There's no God, spirit or any supernatural power to help your problems.

In this world, Everyone is 100% responsible to think and reason properly to solve his or her own problems.

Vipi kuhusu jua coz nalo ni (key centre), coz tukirudi kwenye food web na food chain..........at the first stage utakutana na producers (mimea) ambapo source of energy wanaitoa kwenye jua under presence of chlorophyll na kui-convert kuja kupata carbohydrates pamoja na oxygen during the day. I hope you remember that reaction known as photosynthesis.

Maji pia ni (key centre), did you know kwamba kwenye maji kuna oxygen that's why chemical formula ya maji ni (H2O)

I hope you gat my point, right.​
Upo sawa kabisa mkuu!! Tuongeze tu BIDII kuweka mawazo yetu hadharani Ili yule litakalomfaa basi iwe baraka kwake... Ipo nguvu na hazina kubwa Katika maandishi
 
Giza halijawahi kuwepo na halitakuwepo miele
Kuna Light mwanga huu ndio asili that's why tunasoma darasani habari za light na tabia zake ila huwezi kuusoma giza kwakuwa giza halipo yaan ukiona giza ujue mwanga umezibwa yaan giza ni absence of light huwezi kusoma giza yaan giza linatokea endapo hakuna mwanga
Ni kisema Giza na maanisha usiku ambapo mwanga ni mdogo compare na mchana sijamaanisha Giza kabisa hapana. Naelewa hata usiku kuna mwanga kiasi wa mbalamwezi pamoja na nyota lakini hauwezi kuulinganisha na mwanga wa mchana, right.
 
Watu wengi hawapendi kujifunza kwenye asili za Siri za ulimwengu huu kwani Toka wanakuwa wanaanza kulishwa uwongo kwenye akili zao na kupitia huo uwongo unaenda kutengeneza Imani ndani mwao.

Kwa mtu mwenye mindset ndogo sana ya akili atafikilia unakufulu. Ila wajanja wa philosophy za kale tumeelewa nini unamaanisha kaka. Big up sana
 
Wazungu wametuficha vitu vingi sana,na vile waswahili hatupendi kusoma ndio kabisaa..japo siku hizi baadhi ya movies dizain kama wameanza kuonesha japo kidogo kile kilichofichwa ...kuna mambo zamani yalionekana kama ndoto now days ni simple tu..na soon dunia itakua ya tofauti sana..umejiandaaje?
 
Uzur wa wa bongo mada kama hz wakisoma kifuatacho kapuni ngoja nikaendelee kubet
 
Ukombozi wa Fikra ni swala binafsi,bahati nzuri numbers and consequences never lie.
 
Back
Top Bottom