Sheria za Ulimwengu hazijui ujinga wala umaskini wako, jipe bidii ili uwe na furaha

Tushawishi mwenzetu umejiandaa,maana kesho unaweza kurudi kwenye frecuency nyingine tukakosa idea zako...only death promise
 
Ndiyo ni mada pana, lkn nikikuletea pale ulipo inabidi unilipe kiroho Safi.
Hii ni open source mkuu, if you have a book about nipe nitakulipa, kama ni kujenga hoja tu mbadala basi iweke tu Hawa Wana wa ulimwengu wafaidi uwepo wako
 
Hii ni open source mkuu, if you have a book about nipe nitakulipa, kama ni kujenga hoja tu mbadala basi iweke tu Hawa Wana wa ulimwengu wafaidi uwepo wako
Maji huuzwa ktk muktadha huo.
 
Bahati

Bahati nzuri sana naweza kuyasema maji Katika pande zote kwa fact but hii ilipaswa iwe hivi kutokana na context yake. Be blessed otherwise
Umewahi kununua maji ya chupa/ kulipa bill ya maji ya bomba?.
 
H
Umewahi kununua maji ya chupa/ kulipa bill ya maji ya bomba?.
Halipaswi kuwa swali Ndugu yangu..nadhani umeichukulia maada kwa upande mmoja tu..wewe na Mimi pia ni maji, anzia hapo
 
Uzi bomba kabisa.


Ndioa maana sitaki kukaa mjini.

Napenda kukaa kando ya mji huko na mifugo na kilimo huko kwa mtu mwenye akili atajifunza mengi kupitia mazingira ya asili yanayomzunguka
Wachache watakuelewa
 
Uzi bomba kabisa.


Ndioa maana sitaki kukaa mjini.

Napenda kukaa kando ya mji huko na mifugo na kilimo huko kwa mtu mwenye akili atajifunza mengi kupitia mazingira ya asili yanayomzunguka
Wachache watakuelewa
 
BREAK THE RULES
 
Mkuu sio kwamba kwenye ulimwengu huu giza ni kitu ambacho kipo ila kinacho make difference ni nuru ili kubalance na kusapoti life.

Ni sawa na ujinga na umasikini wenyewe upo tu haukuhitaji jitihada zako ili kuupata, sababu wenyewe upo tu ila kinachomake difference ni akili na ufahamu.

Uthibitisho: tunaweza zuia mwanga kwa kuweka object before chanzo cha mwanga, ila hatuwezi kulizuia giza hadi kuwe na chanzo cha mwanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…