sheria za uraia

sheria za uraia

mswele

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
687
Reaction score
417
habari wana jf bila shaka muwazima wa afya,
naomba kufahamishwa sheria inasemaje iwapo mzazi aliomba uraia wkt alishazaa hlf akapatiwa uraia kuna haja ya kumuombea na mtoto uraia au mtoto tayari ni raia?
NB. mtoto mama yake ni raia halali wa tz baba yake ndio aliomba baada ya mtoto kufikisha mwaka mmoja.

ahsanteni.
 
Back
Top Bottom