Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Wakuu naomba kujua sheria za usalama barabarani zimegawanyika katika makundi mangapi?
Vile vile nataka kujua katika makundi hayo je ni sifa zipi naweza kuzizingatia nikajua umuhimu wake ninapokuwa natumia chombo cha moto.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu unalo ww. Kwani umejuaje kama imegawanyika kwenye makundi
Siyakudumisa Nkosi Yezulu
Vipi huyu jamaa kaacha mpiga mkewe? Ni vizuri pia hilo swali ungemuuliza huyo kamanda wa polisi angekujibu vizuri!
Mlandizi: Kamanda wa Polisi Mlandizi kuna kijana wa Kikurya hapa Mlandizi humpiga kila siku mke wake
Mlandizi: Kamanda wa Polisi Mlandizi kuna kijana wa Kikurya hapa Mlandizi humpiga kila siku mke wake - JamiiForums