Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Wakuu naomba kujua sheria za usalama barabarani zimegawanyika katika makundi mangapi?
Vile vile nataka kujua katika makundi hayo je ni sifa zipi naweza kuzizingatia nikajua umuhimu wake ninapokuwa natumia chombo cha moto.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vile vile nataka kujua katika makundi hayo je ni sifa zipi naweza kuzizingatia nikajua umuhimu wake ninapokuwa natumia chombo cha moto.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app