Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,292
Wakuu heshima kwenu.
Nilikuwa kwenye safari trafiki wakampiga faini dreva wetu wa bus pale kibaha stand kisa alipiga overtake kwenye msitari iliyochorwa barabarani inayokataza overtake.
Baada ya hapo tulivyoaendelea na safari niliiona misitari katikati ya barabara aina tofauti na abiria niliyekuwa naye ni kama mimi tu hajui chochote.
Kama kuna wadau wanajua embu toeni elimu kidogo.
Nilikuwa kwenye safari trafiki wakampiga faini dreva wetu wa bus pale kibaha stand kisa alipiga overtake kwenye msitari iliyochorwa barabarani inayokataza overtake.
Baada ya hapo tulivyoaendelea na safari niliiona misitari katikati ya barabara aina tofauti na abiria niliyekuwa naye ni kama mimi tu hajui chochote.
Kama kuna wadau wanajua embu toeni elimu kidogo.
