mstari mweupe then pembeni yake vipande vipande?
Hapo sikumbuki vizuri ngoja wanaofahamu zaidi waje watusaidie.
mstari mweupe then pembeni yake vipande vipande?
vipande vikiwa upande wako unaruhusiwa ku-overtake......sehemu nyingine mstari upande wako umenyooka ila upande mwingine una vipande vipande wewe huruhusiwi ku-overtake ila wa upande mwingine anaruhusiwa.
Kwa kifupi ni kuwa ukiona mstari umeunganika ni kuwa huruhusiwi ku overtake..na kama umekatika katika basi unaruhusiwa ku overtake...kama iko miwili unaangalia ule mstari ulio upande wako (mstari wa ndani tuseme) unaonyesha nini..kama iilivyo hapo juu..
Na ukiona mistari meupe miwili haijakatika hapo ndo hata usifikirie ku overtake kabisa..kama yote miwili imakatika basi wote wawili (wa pande zote mbili wanaweza ku overtake)
~mistari ikiwa miwili imeunganika kumbe si ruhusa ku overtake nimeelemika leo
alafu kuna siku nilimuone trafiki akiendesha gari kasi na hakuwa amefunga mkanda nani anapaswa ampige faini?
alafu kuna siku nilimuone trafiki akiendesha gari kasi na hakuwa amefunga mkanda nani anapaswa ampige faini?
Katikati kukiwa na mistari miwili, mmoja umekatika na mwimgine haujakatika, basi yule alieko upande uliokatika anaruhusiwa ku over take, wa upande wa pili mstali haujakatika haruhusiwi ku over take, hii ipo sana baada ya kumaliza kona ya barabara.