Shetani ananiandama bila sababu za msingi

Shetani ananiandama bila sababu za msingi

Mcheza Piano

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2024
Posts
562
Reaction score
1,339
Nimehamia mtaa wa pili baada ya sinto fahamu iliyotokea mtaa wa kwanza ambapo mke wa mtu alinizoea sana mpaka watu wakahisi vinginevyo, kuepusha shari nimehamia mtaa wapili, huku nilipo hamia kwenye chumba cha upande wa kulia kuna subwoofer yamaana, upande wa kushoto subwoofer ya kuunga unga ila ni black beauty.

Shetani hana maana kabisa, kazi kuharibu maisha ya watu bila sababu za msingi, sasa hapa nisipo angalia si ntajikuta nalipa kodi za vyumba viwili au vitatu wakati mimi naishi chumba kimoja tu?

Shetani hebu kuwa serious basi, haya majaribu wapelekee memba matajiri wa jeiefu.
 
Ww ni malaya and u like it,shetani anasoma tabia yako and kukupeleka kule upendako.
 
Cha kushangaza kuna siku utatuma picha ya uume yenye vidonda na kuuliza tiba ya fungus....
 
Nimehamia mtaa wa pili baada ya sinto fahamu iliyotokea mtaa wa kwanza ambapo mke wa mtu alinizoea sana mpaka watu wakahisi vinginevyo, kuepusha shari nimehamia mtaa wapili, huku nilipo hamia kwenye chumba cha upande wa kulia kuna subwoofer yamaana, upande wa kushoto subwoofer ya kuunga unga ila ni black beauty.

Shetani hana maana kabisa, kazi kuharibu maisha ya watu bila sababu za msingi, sasa hapa nisipo angalia si ntajikuta nalipa kodi za vyumba viwili au vitatu wakati mimi naishi chumba kimoja tu?

Shetani hebu kuwa serious basi, haya majaribu wapelekee memba matajiri wa jeiefu.
Daah "Ama kweli mahindi humuotea mtu asiye na meno"...
 
Usiogope mkuu, wengine tunaishi nae ila tunaendelea kupambana mazee..😶
 
Nimehamia mtaa wa pili baada ya sinto fahamu iliyotokea mtaa wa kwanza ambapo mke wa mtu alinizoea sana mpaka watu wakahisi vinginevyo, kuepusha shari nimehamia mtaa wapili, huku nilipo hamia kwenye chumba cha upande wa kulia kuna subwoofer yamaana, upande wa kushoto subwoofer ya kuunga unga ila ni black beauty.

Shetani hana maana kabisa, kazi kuharibu maisha ya watu bila sababu za msingi, sasa hapa nisipo angalia si ntajikuta nalipa kodi za vyumba viwili au vitatu wakati mimi naishi chumba kimoja tu?

Shetani hebu kuwa serious basi, haya majaribu wapelekee memba matajiri wa jeiefu.
Tatizo ukilikwepa haliwezi kuisha, komaa hapo hapo.

Fanya kile nafasi yako inakutuma, ila kamwe usije kulipa Kodi ya chumba ambacho hauishi.
 
Back
Top Bottom