Shetani atakapochapisha Kitabu chake, utapeli wa dini utakoma, kila lawama kwake, yeye kimya tu!

Shetani atakapochapisha Kitabu chake, utapeli wa dini utakoma, kila lawama kwake, yeye kimya tu!

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,410
Reaction score
8,184
Vitabu vya dini kubwa zote vinamtaja shetani. Na kumsema mabaya yake.

Cha ajabu shetani yeye amekaa kimya tu.

Nimeota muda si mrefu shetani na yeye anashusha kitabu chake mapangoni.. kama waislamu wanavyodai Quran ilivyoshushwa ama kama Musa alivyopewa amri kumi pale mlima sinai.

Kitabu cha shetani kitakuwa kitamu sana.. kikieleza kwa nini Mungu anayetajwa ana nguvu, hamuui yeye shetani mpaka leo.
 
Shetan aandike kitabu cha nini sasa wakat nyie vishetan vyake ndio mko front kumpamnania kifua mbele. Nyie ndio vitabu vyake sasa tuna deal na nyie
 
Hawa Shatani na Mungu waandaliwe pambano wapande ulingoni wazichape tujue nani zaidi ili hizi drama zao ziishe
 
Shetan yy atashushaa Bali atakipandishaa mkuu maaana c mnasemaga yupo chinii kuzimu🤪🤪🤪
 
Vitabu vya dini kubwa zote vinamtaja shetani. Na kumsema mabaya yake.

Cha ajabu shetani yeye amekaa kimya tu.

Nimeota muda si mrefu shetani na yeye anashusha kitabu chake mapangoni.. kama waislamu wanavyodai Quran ilivyoshushwa ama kama Musa alivyopewa amri kumi pale mlima sinai.

Kitabu cha shetani kitakuwa kitamu sana.. kikieleza kwa nini Mungu anayetajwa ana nguvu, hamuui yeye shetani mpaka leo
Anacho chake

Biblia ya Shetani ni mkusanyo wa insha, uchunguzi, na matambiko yaliyochapishwa na Anton LaVey mwaka wa 1969. Ndiyo maandishi makuu ya kidini ya LaVeyan Satanism, na ya
61zyy4IHfQL._AC_UF1000,1000_QL80_.jpg
nachukuliwa kuwa msingi wa falsafa na mafundisho yake ya kidini. Imefafanuliwa kuwa hati muhimu zaidi ya kushawishi Ushetani wa kisasa. Wikipedia
 
Vitabu vya dini kubwa zote vinamtaja shetani. Na kumsema mabaya yake.

Cha ajabu shetani yeye amekaa kimya tu.

Nimeota muda si mrefu shetani na yeye anashusha kitabu chake mapangoni.. kama waislamu wanavyodai Quran ilivyoshushwa ama kama Musa alivyopewa amri kumi pale mlima sinai.

Kitabu cha shetani kitakuwa kitamu sana.. kikieleza kwa nini Mungu anayetajwa ana nguvu, hamuui yeye shetani mpaka leo.
Wanamuita muongo hajawahi danganya wanamwita muuaji hajawahi kuua... Ila upande wa pili asa ngoja nisiongee
 
Back
Top Bottom