Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Wakuu tangu niamue kuokoka nimepata changamoto kubwa sana, leo nimezini mara ya pili hata wiki haijaisha.
Yani ni kama kasi imeongezeka, halafu niliye zini naye leo ni demu aliye nipiga chenga muda mrefu sana nikakata tamaa nikaacha kumfukuzia.
Jana akanitafuta akaniambia yupo Moro nikamjibu poa. Asubuhi akanipigia akaniambia anaondoka kesho nikajiongeza nikaomba game bila kutongoza nikijua atakataa tu maana nilimtongoza sana kipindi cha nyuma akazingua.
Nilivyo omba game akauliza sure? Nikasema yes. Tukakutana tukagongana nikamsindikiza alipofikia, sasa nipo hapa car wash napiga hesabu nimetumia kama laki 1 na 12 kufanya tukio hili na ni short time maana ntalala nyumbani.
Najua tu huyu ni shetani, hii hela ningejaza mafuta yangenisukuma wiki nzima.
Yani ni kama kasi imeongezeka, halafu niliye zini naye leo ni demu aliye nipiga chenga muda mrefu sana nikakata tamaa nikaacha kumfukuzia.
Jana akanitafuta akaniambia yupo Moro nikamjibu poa. Asubuhi akanipigia akaniambia anaondoka kesho nikajiongeza nikaomba game bila kutongoza nikijua atakataa tu maana nilimtongoza sana kipindi cha nyuma akazingua.
Nilivyo omba game akauliza sure? Nikasema yes. Tukakutana tukagongana nikamsindikiza alipofikia, sasa nipo hapa car wash napiga hesabu nimetumia kama laki 1 na 12 kufanya tukio hili na ni short time maana ntalala nyumbani.
Najua tu huyu ni shetani, hii hela ningejaza mafuta yangenisukuma wiki nzima.