Shetani kamwaga roho ya madeni ulimwenguni. Be careful

Shetani kamwaga roho ya madeni ulimwenguni. Be careful

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!

Niliwahi kupost mada kama hii miezi michache iliyopita. Leo ninaipost tena baada ya kufanya utafiti tena na tena.
Watu wengi wanadaiwa sio mchezo. Hata Mimi niliwahi kuvamiwa na roho ya madeni, madeni yanamsogeza mtu karibu na kifo, madeni huondoa amani katika familia.

Katika mipango yako ya maisha hakikisha usiruhusu madeni yasiyo na ulazima.

Fanya maombi kukataa madeni.

Wanawake hawana hisia katika mapenzi kwasababu ya roho ya madeni.
Familia zimekosa upendo na amani kwasababu ya madeni.
 
Wenye madeni tunakuelewa vizuri sana.

Ni kawaida sana kwetu kuzima simu yenye namba za watu 500 na unaizima kwa sababu kuna watu 10 tu wanakudai,hiyo ni kawaida kwetu.

Ni kawaida sana kwetu kukopa hapa ili ukalipe kule kwingine kupunguza uhasama pale deni linapokuwa kubwa.

Madeni ni hatari sana,inahitaji nidhamu na ukomavu kuyakabili ikibidi hata kujinyima kula ili utoke kwenye msoto huu
 
Back
Top Bottom